sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,743
- 6,236
1. Mama ambae baba mzee Kibao anakufa anasema kifo ni kifo
2. Mama ambae mtoto Mdude amechukukuliwa kikatili na kuvuja damu, wajukuu wanaachwa yatima, yeye mwenye dhamana hasemi kitu
3. Mama watoto wanapotea hana habari.
Mama ni title ya huruma na utu, Samia amekosa hicho. Itoshe kumuita Rais samia, au mama Abdul, yeye ni mama kwa kina Abdul, sio sisi.
2. Mama ambae mtoto Mdude amechukukuliwa kikatili na kuvuja damu, wajukuu wanaachwa yatima, yeye mwenye dhamana hasemi kitu
3. Mama watoto wanapotea hana habari.
Mama ni title ya huruma na utu, Samia amekosa hicho. Itoshe kumuita Rais samia, au mama Abdul, yeye ni mama kwa kina Abdul, sio sisi.