Kwanini Samia anaondoa vigogo wote wa juu🧕🤦🏾‍♂️

Kwanini Samia anaondoa vigogo wote wa juu🧕🤦🏾‍♂️

Wote wameondoka kwa shinikizo kwa habari za ndani. Hawa ndiyo walikuwa viongozi wa juu kabisa

Makaumu wa Raisi Mpango
Waziri Mkuu Majaliwa
Spika Ndugai
Mtu akikaribia kukata roho huwa anatapatapa sana, Kisukuma tumasema is last kick of a dying horse.
 
Lengo hapo ni kutaka kuwapa tu wahuni uhuru wa kufanya uhuni wao.
 
Back
Top Bottom