Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Wakuu nimekua nikijiuliza inakuaje saloon nyingi za kiume (Barber shop) nyingi za Tanzania zinakua na picha za wasanii wa Marekani kama sio Jay Z basi utamkuta Ludacris, kama sio T.I basi Rick Ross, Chris Brown, P didy na wengineo
Je hapa bongo hakuna wasanii maarufu wanaonyoa mitindo mbali mbali zikatumika picha zao kwenye haya masaloon badala ya kuwapromote wasanii wa Marekani!??
Nawasilisha.
Je hapa bongo hakuna wasanii maarufu wanaonyoa mitindo mbali mbali zikatumika picha zao kwenye haya masaloon badala ya kuwapromote wasanii wa Marekani!??
Nawasilisha.