Kwanini roho zenu mbaya?

Kwanini roho zenu mbaya?

Umefanyiwa nini? Je umejaribu kujichunguza binafsi? Inawezekana wewe ndie uko sensitive kupita kiasi.
 
inawezekanaje mtu haujui jina lake, anaishi wapi, anafanya nini lakini ukajua ana roho mbaya? Humu JF soma, changia chukua ya kukufaidisha endelea na maisha yako. ukianza kuona watu nyuma ya keboard wana roho mbaya wale unaokutana nao kila siku si utawaweka kwenye kundi moja na shetani?
 
Wengi wako busy siasani hivi sasa, baada ya 25/10 roho zitakuwa nzuri tena. Vuta subira
 
Aisee na mimi pia nasubiri majibu.
Kwani wamekufanyeje tena Mkuu?
Kuna mtu umemuomba kitu akakunyima?
 
Back
Top Bottom