Kwanini RED BRIGADE Haizinduliwi Moshi na Arusha

Kwanini RED BRIGADE Haizinduliwi Moshi na Arusha

Mkuu yaandike tu kama matusi niliyategemea kwani ni kawaida yenu.
.......Kaka, wala hakuna matusi katika vitu nilivyotaka kuandika. Ondoa hofu, kumbe muda mwingine watu huwa mnaanzisha thread ili mtukanwe? Asante kwa kunifumbua macho.

Nakushauri kama nia yako utukanwe anzisha thread ya kumkashifu Lusinde halafu tumuite aone ulichoandika, matusi utayapata maana huyo ni mmojawapo wa wakufunzi wa matusi huko kwenu.
 
Nimeona Mwenyekiti CHADEMA Taifa akizunguka mikoani kuzindua kile kinachoitwa jeshi la chama.Lakini sijamuona akienda maeneo ya Moshi na Arusha wakati huko ndo kuna wanachama wengi.

Angalizo kwa wananchi tusije tukatumika na pia hata hata vikundi vya kigaidi vilianza hivi hivi.
Anataka hao red brigade wakishadanganywa vya kutosha na kusababisha mtafaruku kwao kubaki salama na kwa wale wanaopokea mambo bila kutafakari waharibikiwe Kwenye maeneo yao.
 
mkuu kiwanda cha majambazi kipo ccm mitaa ya lumumba wanakozalisha hadi majoka ya makengeza, majambaza ya EPA, MEREMETA, KAGODA na ESCROW!
Hapo umenena mshikaji ni kweli kule ndio kuna kiwanda chakutengeneza majambazi nchini,hebu chukulia mfano yule jamaa wa EPA Rajabu Maranda walimuingiza maboya na mwisho wa siku wamemsahau na kumtumbilia mbali sasa anasota mwenyewe Lopango na wakati ile hela aliyoipiga walishirikiana kula na ma ccm,hata nashindwa kufahamu muelekeo wa hii nchi,kwa jinsi mambo yanavyoendeshwa kihuni sijui mwisho wake utakuwa ni nini.Mimi nasema hawa jamaa wanajitayarisha kwa chaos itakayotokea baada ya uchaguzi watakaoushindwa na hawa vijana walioshika bunduki ndio watakaoleta purukushani baada ya mlo waliouzoea kumalizika hawatokubali kabisa na wako tayari hata kumwaga damu ya wapinzani.Kuna mengi nitayaaweka hapa hivi karibuni ambayo nimejionea mwenyewe wakati nilipotembelea nyumbani miaka miwili iliyopita nimejionea jinsi mind za watu zilivyobadilishwa na kuwa kama za farasi wa mashindano,yaani ziko zinaangalia mbele upande mmoja na kazi ni kukimbia tuu mpaka mtari wa mwisho ambao ndio utakuwa ushindi kwa ccm,nimeona mpaka dini jinsi ilivyoingizwa ndani ya siasa za Tanzania na mengi yanayofanywa na ccm na ndio maana niliishaga amua kuwa partsan sina chama chochote cha kukishabikia lakini kwa mbali sana vision ya cdm na light yake imeisha anza kuingia ktk mitaa ya brain yangu,cdm makes more sence to me at this point of time na ilichobaki ni muda tuu.PEACE Mr.Murage Msherwampamba.
 
kuanzisha na kuimasha Redbrigade imekuwa shida sana kwa mafisadi. jiandae maana round hii haibiwi mtu.
 
kanda ya ziwa ndio wenye uamuzi wa kumtwaa rais wa Tanzania
na huku kanda ya ziwa tumewashika vibaya

Arusha na moshi wizi wa kura umedhibitiwa kwa kiasi kikubwa. Kanda ya ziwa ccm ilifanya shamba la bibi kuiba kura. Sasa ukawa wanasema basi
 
Tayari wananchi karibu wote ni red brigade. Itakuwa redundant. Chadema wanatumia kichwa katika utendaji wao wa kila siku.
 
Mimi mawazo yangu yanaona ni bora cdm watengeneze military police type of unit ambao watashughulika na hawa watoto wa ma ccm siku hiyo ya mambo kupinduka,najua lengo la ma ccm kuwatengeneza hawa vijana ni kuwatayarisha kuleta fujo siku watanzania watakayowatema kama ganda la mua/au itakuwa vizuri sana nikiandika siku watanzania wakiwatema kama shubiri maana ganda la mua asili yake ni utamu,sasa ni utamu gani watu watakuwa wameufyonza zaidi ya machungu yake tuu(shubiri)
majitu yamekalia wizi na kuwadhulumu watanzania kila siku tena bila hata ya woga au aibu,yenyewe imeendekeza kuiba tuu,sasa tumeisha ishitukia zama zile zimeisha pitwa na wakati wake,sasa ni ukweli tuu na uwazi ndio vinavyozungumza ktk mioyo ya watanzania.Mimi ninatabiri kwa huu mwenendo wa maccm nchi yetu itaingia matatani na ninaamini utawala mpya utakuwa na ulalamishi sana kwani ma ccm hayatokubali kuachia ngazi hivi hivilazima watamwaga damu,hivi vitoto vyao kama visipo tengenezewa mkakati madhubuti vitakuja leta kasheshe kubwa sana.Niliviona kule Songea ktk uwanja wa maji maji jinsi vilivyokuwa tayari kwa lolote lile mbele ya mwenyekiti wao wa chama pamoja na katibu wao mkuu alikuwepo pale uwanja wa maji maji wote kwa pamoja walikuwa wakivipigia makofi.Baadhi yenu mtaniona naandika vitu vya kubuni lakini naamini mtakuja nikumbuka hiyo siku mti wa mkwaju utakapowaka moto.PEACE Mr Murage Msherwampamba.
 
Acha upuuzi na green guard nao ni magaidi!

nimewahi kuwa green guard zaman, tulijifunza ukakamavu na moyo wa kizalendo.Naona hata wasaka tonge wameiga huu mfumo eti huko red brigade mnajifunza nini? Mnaikataa CCM lakini mnaifuata mifumo ya misingi yake:A S-frusty2:
 
[QUOTkizuri iga! ogwe;12068894]nimewahi kuwa green guard zaman, tulijifunza ukakamavu na moyo wa kizalendo.Naona hata wasaka tonge wameiga huu mfumo eti huko red brigade mnajifunza nini? Mnaikataa CCM lakini mnaifuata mifumo ya misingi yake:A S-frusty2:[/QUOTE]
Kitu kizuri iga!
 
Back
Top Bottom