Mount Kibo
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 1,956
- 553
Ni kweli mkuu si unaona hata mjinga aliyeleta hili bandiko jinale?Pia hakuna tofauti kati ya green guide na Boko haramu!
Ni kweli mkuu si unaona hata mjinga aliyeleta hili bandiko jinale?Pia hakuna tofauti kati ya green guide na Boko haramu!
Ni kweli mkuu si unaona hata mjinga aliyeleta hili bandiko jinale?
Nimeona Mwenyekiti CHADEMA Taifa akizunguka mikoani kuzindua kile kinachoitwa jeshi la chama.Lakini sijamuona akienda maeneo ya Moshi na Arusha wakati huko ndo kuna wanachama wengi.
Angalizo kwa wananchi tusije tukatumika na pia hata hata vikundi vya kigaidi vilianza hivi hivi.
Nimeona Mwenyekiti CHADEMA Taifa akizunguka mikoani kuzindua kile kinachoitwa jeshi la chama.Lakini sijamuona akienda maeneo ya Moshi na Arusha wakati huko ndo kuna wanachama wengi.
Angalizo kwa wananchi tusije tukatumika na pia hata hata vikundi vya kigaidi vilianza hivi hivi.
Ataenda tu ...unawashwa nini?
Mbona hujauliza kama amezindua Bagamoyo?
Mbona hujauliza kama amezindua Temeke au Ubungo
Ukijisikia Uchungu sana...wahi labor
Mikoa ambayo Mbowe amei'target ni huko alikoweka hao mabwana na baadae Mara(Musoma).
Macharii wa Chuga na Moshi hawana Uboya kama huu. Wao Noti tu.
Mchakato huu ni kwa mikoa yawazembe na wanaotumika kama VYAMBO tu!
wewe mwenyewe hueleweki , unauliza kuhusu cdm au unazungumzia ugaidi ?Nataka hoja sio matusi.
Mikoa ambayo Mbowe amei'target ni huko alikoweka hao mabwana na baadae Mara(Musoma).
Macharii wa Chuga na Moshi hawana Uboya kama huu. Wao Noti tu.
Mchakato huu ni kwa mikoa yawazembe na wanaotumika kama VYAMBO tu!
huyo msela abubakar anatupotezea muda tu , cdm inao utaratibu wa kwenda kanda kwa kanda na raia wote wa nchi hii wanalifahamu hili , sasa yeye kachelewa wapi ? acha vijana wamshughulikie na unafiki wake .mbona ameuliza swali kiungwana unajibu kihuni?utafikiri umelazimishwa kujibu
Nimeona Mwenyekiti CHADEMA Taifa akizunguka mikoani kuzindua kile kinachoitwa jeshi la chama.Lakini sijamuona akienda maeneo ya Moshi na Arusha wakati huko ndo kuna wanachama wengi.
Angalizo kwa wananchi tusije tukatumika na pia hata hata vikundi vya kigaidi vilianza hivi hivi.
.......Nimejaribu kusoma uzi wako lakini nimeshindwa kuelewa lengo la uzi huu ni nini. Ebu nikae kimya niwaache ambo wamekuelewa watakuja kukujibu.
Yaani unataka kutuaminisha kuwa hata ISIS, Al-qaeda, Boko Haram, Al-Shabaab n.k walianza hivi hivi? Hivyo vikundi nilivyokutajia hapo husema wanapigania dini na Mungu wao, wewe unafahamu lengo la kuanzishwa kwa Red Brigade?
Mmmh!! ebu nikae kimya maana maandishi nayotaka kuyaandika siyo mazuri.
Hebu nikumbushe kanda ya ziwa chadema ina viti vingapikanda ya ziwa ndio wenye uamuzi wa kumtwaa rais wa Tanzania
na huku kanda ya ziwa tumewashika vibaya
hadi chozo pole unatia imani mdada
Mkuu yaandike tu kama matusi niliyategemea kwani ni kawaida yenu.