Kwanini RED BRIGADE Haizinduliwi Moshi na Arusha

Kwanini RED BRIGADE Haizinduliwi Moshi na Arusha

ashakum si matusi.....kunya anye kuku akinya bata eti kaarisha
 

Attachments

  • 1425399004457.jpg
    1425399004457.jpg
    5.6 KB · Views: 325
  • 1425399080015.jpg
    1425399080015.jpg
    11.4 KB · Views: 181
Nimeona Mwenyekiti chadema Taifa akizunguka mikoani kuzindua kile kinachoitwa jeshi la chama.Lakini sijamuona akienda maeneo ya moshi na Arusha wakati huko ndo kuna wanachama wengi.
Angalizo kwa wananchi tusije tukatumika kama kondom na pia hata hata vikundi vya kigaidi vilianza hivihivi.

Nahakika kufikia uchaguzi na hio mikoa ya KASKAZINI Mwenyekiti atakuwa ameshazindua JESHI la CHAMA vinginevyo itatupasa tutafakali kwa kina.
 
Mikoa ambayo Mbowe amei'target ni huko alikoweka hao mabwana na baadae Mara(Musoma).

Macharii wa Chuga na Moshi hawana Uboya kama huu. Wao Noti tu.

Mchakato huu ni kwa mikoa yawazembe na wanaotumika kama VYAMBO tu!
 
Mikoa ambayo Mbowe amei'target ni huko alikoweka hao mabwana na baadae Mara(Musoma).

Macharii wa Chuga na Moshi hawana Uboya kama huu. Wao Noti tu.

Mchakato huu ni kwa mikoa yawazembe na wanaotumika kama VYAMBO tu!
Sawa kabisa kamanda!! Kumbe umejua kuwa ngome zote za ccm ni za maboya,na ndiyo maana Mbowe amezi target ili azikomboe kutoka kwa ujinga wao wa kukumbatia majizi ya ccm.
 
Tofuti kati ya Panya road na Bregadi nyekundu ni ndogo sana.Kiufupi ndio wale wale.
 
Chadema Tuna utaratibu mzur sana,Na kila kitu kinaenda kwa ratiba...Kwa kanda ya Kaskazini ratiba yake bado...Lumumba mnaweweseka kweli mnavyoona vijana wamejiunga kwa moyo redbrigade....
 
Mungu wangu tusaidie ikifika kwa jamaa wale wanywa viroba.Yani hii bregadi nyekundu ni kiwanda cha majambazi

mkuu kiwanda cha majambazi kipo ccm mitaa ya lumumba wanakozalisha hadi majoka ya makengeza, majambaza ya EPA, MEREMETA, KAGODA na ESCROW!
 
www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=231517&d=1425387754
 
Nimeona Mwenyekiti CHADEMA Taifa akizunguka mikoani kuzindua kile kinachoitwa jeshi la chama.Lakini sijamuona akienda maeneo ya Moshi na Arusha wakati huko ndo kuna wanachama wengi.

Angalizo kwa wananchi tusije tukatumika na pia hata hata vikundi vya kigaidi vilianza hivi hivi.

mleta mada ni mnafiki mkubwa kama mwanamke kahaba!!!
 
nimeona mwenyekiti chadema taifa akizunguka mikoani kuzindua kile kinachoitwa jeshi la chama.lakini sijamuona akienda maeneo ya moshi na arusha wakati huko ndo kuna wanachama wengi.

Angalizo kwa wananchi tusije tukatumika na pia hata hata vikundi vya kigaidi vilianza hivi hivi.

ni kweli kabisa inahitajika wananchi tuwe macho kwamaana hawa jamaa hawana nia njema na wao walishasema kuwa watahakikisha nchi hii haitawaliki na ndo utakuwa wanawalisha sumu ili waje kuwa magaidi wa baadae mwisho wa siku nyie mnao wapa support ndo mtakuwa wa kwanza kuathirika
 
Back
Top Bottom