Kwanini rais na wabunge hawakatwi kodi?

Kwanini rais na wabunge hawakatwi kodi?

taxbabe

Senior Member
Joined
Dec 12, 2012
Posts
136
Reaction score
64
Mimi nashindwa kuelewa kwanini kodi tukatwe sie tu tunaolipwa senti mbili lakini wabunge, mawaziri na rais hawakatwi. What is so special about them wasikatwe kodi? Kwanini sie ndo tupigiwe kelele za kuwa wazalendo tulipe kodi wakati wao they get everything for free? Hiyo haki sawa kwa wote ilioandikwa kwenye katiba iko wapi?
Kuna haja yakuwa na principles of taxation kwenye sheria zetu. Sio kodi zikatwe kwa matabaka tu.
 
Leading by words only, this is Tanzania were words speak louder tha actions.
 
Mimi nashindwa kuelewa kwanini kodi tukatwe sie tu tunaolipwa senti mbili lakini wabunge, mawaziri na rais hawakatwi. What is so special about them wasikatwe kodi? Kwanini sie ndo tupigiwe kelele za kuwa wazalendo tulipe kodi wakati wao they get everything for free? Hiyo haki sawa kwa wote ilioandikwa kwenye katiba iko wapi?
Kuna haja yakuwa na principles of taxation kwenye sheria zetu. Sio kodi zikatwe kwa matabaka tu.


  1. Kwa sababu kodi ni mbaya
  2. kwa sababu wao ndio watungaji na wasainiji wa sheria
 
Kuna wakati TRA wakamweka Kikwete eti ahimize ulipaji wa kodi! What a joke!
 
Mimi nashindwa kuelewa kwanini kodi tukatwe sie tu tunaolipwa senti mbili lakini wabunge, mawaziri na rais hawakatwi. What is so special about them wasikatwe kodi? Kwanini sie ndo tupigiwe kelele za kuwa wazalendo tulipe kodi wakati wao they get everything for free? Hiyo haki sawa kwa wote ilioandikwa kwenye katiba iko wapi?
Kuna haja yakuwa na principles of taxation kwenye sheria zetu. Sio kodi zikatwe kwa matabaka tu.
mkuu taxbabe hebu rudi kidogo kwenye income tax law.2004 second schedule exemption amount
(a)amount derived by president of united republic and president of revolution from salaries,duty allowance is exmpted
hapo uko sawa hela yote anayopata raisi hakatwi kitu hapo

kwa mawaziri na wabunge hakuna sehemu inayoelezea zaidi hiki kipengele (s) gratuity granted to MP end of each term ndio inakuwa exmpted
hila jibu sahii katoa Safari_ni_Safari,kuwa wao ndio wanaopitisha sheria lazima ziwe upande wao kidizaini flani
 
Last edited by a moderator:
Hawakatwi kodi kwa sababu wao ndio waliotunga sheria hiyo ya kodi,ulitegemea wasijipendelee?
Naomba nisipigwe ban,lakini kwa hili,basi wabunge wote wakiongozwa na bi Kinda ni Wanafiki,Wazandiki na Wafitini!
 
mkuu kwani kodi ni mbaya kulipa? ni jambo jema sana.Maendeleo hayatakuja kutoka mbinguni?
Kama unataka kuhamasisha watu walipe kodi tumia wanaolipa kodi ndio wahamasishe. Kikwete halipi kodi - sijui mara ya mwisho kulipa kodi ni lini - atahamasishaje watu walipe kodi. Labda wewe ndugu yangu, lakini mimi niliona ni kituko tu!
 
Ni sawa na kusema kuwa they preach what they can't practice eeh! Rais halipi kwa mujibu wa sheria vipi wao nao? Moja ya majukumu ya bunge ni kuisimamia serikali pale inapopotoka. Je, hili la wao kutokulipa kodi wanalisemaje? Wakumbuke sheria hii waliipitisha wenyewe so ifanye kazi kwa wote na siyo kubagua kwani nimeona bandiko kuwa spika anaomba waongezwe mshahara.
 
Kweli viongozi wa nchi hii wamejaa usanii mtupu!wao hawalipi kodi halafu kama haitoshi wanayasamehe makampuni ya kigeni kodi,sasa maendeleo yatakujaje,au ndio misaada ya wazungu
 
Mimi nashindwa kuelewa kwanini kodi tukatwe sie tu tunaolipwa senti mbili lakini wabunge, mawaziri na rais hawakatwi. What is so special about them wasikatwe kodi? Kwanini sie ndo tupigiwe kelele za kuwa wazalendo tulipe kodi wakati wao they get everything for free? Hiyo haki sawa kwa wote ilioandikwa kwenye katiba iko wapi?
Kuna haja yakuwa na principles of taxation kwenye sheria zetu. Sio kodi zikatwe kwa matabaka tu.

Kwani katiba iliyoko inasemaje kuhusu hili?
 
Kwani katiba iliyoko inasemaje kuhusu hili?

Katiba ya tanzania haijaongelea chochote kuhusu kodi. Ndo maana nimesema kuna haja ya kuwa na hizo principle za taxation kwenye sheria. Principle hizo zitalazimu sheria za kodi ziwe na usawa.
So far sheria zetu zina double stands. Kwa viongozi sio lazima kulipa, kwa wananchi ni lazima kulipa kodi.
 
Rizi je? huwa naye anasamehewa kodi au ni kiherehere za watumishi wa TRA kujikosha kwa mkuu wa kaya?
 
Kusema kweli hata mi inaniuma sana, hapa hakuna usawa! kwa nini pia wafanyabiashara wanalipa kila mwaka badala ya kila mwezi ka wanavyofanya watumishi wengine waumma ambao hukatwa kila mwezi? there must be equal right and justice!
 
Kusema kweli hata mi inaniuma sana, hapa hakuna usawa! kwa nini pia wafanyabiashara wanalipa kila mwaka badala ya kila mwezi ka wanavyofanya watumishi wengine waumma ambao hukatwa kila mwezi? there must be equal right and justice!

Income tax inalipwa kwa mwaka. Kwa wafanya biashara inaangaliwa mapato yote ya mwaka huo, lakini kwa sisi wafanyakazi inabidi ikatwe kwa mwezi na bosi wako. Maana ukipewa yote alafu ukalipie mwenyewe mwisho wa mwaka itakuwa ngumu kulipa.
 
Income tax inalipwa kwa mwaka. Kwa wafanya biashara inaangaliwa mapato yote ya mwaka huo, lakini kwa sisi wafanyakazi inabidi ikatwe kwa mwezi na bosi wako. Maana ukipewa yote alafu ukalipie mwenyewe mwisho wa mwaka itakuwa ngumu kulipa.

Mahesabu ya mfanyakazi na wa/biashara mbona tofauti ni kubwa sana! m/biashara lets say kwa mwaka analipa maxmum laki moja, halafu wewe unakatwa 150,000/= kila mwezi. jumla kwa mwaka 180,000,00/= uko wapi usawa hapo jamani?
 
Back
Top Bottom