Mpendakukimbiakimbia
Senior Member
- May 18, 2018
- 151
- 274
Mi nimekuwa nikijiuliza sana kuwa iweje radi iko mawinguni lakini sijawahi kusikia imepiga watu waliomo ndani ya ndege au kusambaratisha ndege badala yake inawinda chini ya ardhi tu? Au kwanini sijawahi kusikia radi imepiga Dar es salaam. Mi naona ni mauzauza ya kichawi tu!!