Kwanini radi au thunderstorm haijawahi kuangusha ndege?

Kwanini radi au thunderstorm haijawahi kuangusha ndege?

Mi nimekuwa nikijiuliza sana kuwa iweje radi iko mawinguni lakini sijawahi kusikia imepiga watu waliomo ndani ya ndege au kusambaratisha ndege badala yake inawinda chini ya ardhi tu? Au kwa nini sijawahi kusikia radi imepiga Dar es salaam. Mi naona ni mauzauza ya kichawi tu!!
Miaka kadhaa iliyopita ndege aina ya Jumbo ikitoka Uingereza kwenda Afrika Kusini ya makaburu ililazimika kutua kwa dharura Dar es Salaam baada ya kupigwa na radi, abiria wore na wafanyakazi walikuwa salama japo ndege ilipata hitilafu.
 
Je, ikitokea wakati Wa kupaa au kushuka na radi imepiga ikiwa anga za mawingu
 
Miaka kadhaa iliyopita ndege aina ya Jumbo ikitoka Uingereza kwenda Afrika Kusini ya makaburu ililazimika kutua kwa dharura Dar es Salaam baada ya kupigwa na radi, abiria wore na wafanyakazi walikuwa salama japo ndege ilipata hitilafu.
iĺipita chini ya mawingu
 
Mi nimekuwa nikijiuliza sana kuwa iweje radi iko mawinguni lakini sijawahi kusikia imepiga watu waliomo ndani ya ndege au kusambaratisha ndege badala yake inawinda chini ya ardhi tu? Au kwanini sijawahi kusikia radi imepiga Dar es salaam. Mi naona ni mauzauza ya kichawi tu!!
Ndege huwa zinapigwa na radi.
 
Mi nimekuwa nikijiuliza sana kuwa iweje radi iko mawinguni lakini sijawahi kusikia imepiga watu waliomo ndani ya ndege au kusambaratisha ndege badala yake inawinda chini ya ardhi tu? Au kwanini sijawahi kusikia radi imepiga Dar es salaam. Mi naona ni mauzauza ya kichawi tu!!
Nenda kachukua huyo thunderstorm namanyere ndo utajua itaanguka au itabaki
 
Ndege zimetengenezwa na kinga ya radi kwa hiyo hata kama itapigwa madhara yake ni madogo sana,kwa mji kama Dar sehemu kubwa ya nyumba zake zina umeme kwa hiyo kupigwa na radi ni aghalabu sana hata hivyo haiko kwenye ukanda wenye radi nyingi zenye hatari kama ilivyo kwa baadhi mikoa mingine..
 
Ndege zimetengenezwa na kinga ya radi kwa hiyo hata kama itapigwa madhara yake ni madogo sana,kwa mji kama Dar sehemu kubwa ya nyumba zake zina umeme kwa hiyo kupigwa na radi ni aghalabu sana hata hivyo haiko kwenye ukanda wenye radi nyingi zenye hatari kama ilivyo kwa baadhi mikoa mingine..
Wow! Nimekupenda sana. Kama ww ni ke nahisi utakuwa mrembo sana
 
Wataalamu wenu wa bongoland wanaojiita engineers hawajui jibu la swali hili.
Ni hivi:
Tuanzie majengo; yanalindwa na radi kupitia 'earth' ambayo inapeleka umeme wa radi ardhini.
Ndege nayo ina 'earth' ambayo inapeleka umeme wa radi hewani.
Kwa faida ya mleta mada meli nayo ina 'earth' ambayo inapeleka umeme wa radi kwenye maji.
 
Ngoja wataalam wa maarifa ya hivi vitu waje..
 
Back
Top Bottom