Kwanini Profesa Lumumba alikuwa akimsifia Hayati Rais Magufuli?

Naona unatafuta ugomvi na Samia. Ndani ya miezi miezi mitano ashaenda Kenya, Uganda, Burundi, Rwanda. Na hapo kuna Korona!
Madam yupo katika "rehearsal" ktk nchi za maziwa makuu kabla ya kuanza ziara za kwenda nchi za mbali za ughaibuni huko kwa mabeberu kutembeza bakuli la misaada.
 
Huyo profesa "njaa kali" alikuwa anajilengesha teuzi kwa Magufuli.
Alijua Magufuli alikuwa ni mlevi wa sifa kiasi kwamba angeweza hata kumpa uteuzi wa balozi wa heshima mahali. He was such desperate!!
 
China wameanza kuendelea lini na wamefungua mipaka lini?Hadi sasa China serikali na chama chao ndio boss,utafanya chama kinavotaka au wanakupoteza.Siasa za kimagharibi tunapotezeana muda hiv
 
Magufuli hakuwa Mungu kuna makosa alifanya lkn ukiangalia kwa ujumla amefanya mambo makubwa sana ktk kipindi kifupi generally he was focused hao wanaokulipeni mmseme vibaya nao walipata chance badala ya kudeliver wakaenda kubembea marekani.
 
Panafrocanisit kumtetea diktator aliyejenga uwanja wa ndege kijijni kwake??? Ni upumbavu tu
Ule ni uwekezaji kwa ajili ya utalii ambao alipanga kufungua kwenye mbuga zilizo eneo hilo la chato kifo kimevuruga sana mipango na kutoa mwanya kwa waharibifu kama wewe kumsema vibaya shujaa wa nchi hii.
 
Punguzeni Mishahara ya Wabunge
ONDOENI Viti Maalumu havina Tija
Acheni kununua MAGARI ya Gharama kubwa kwa Watendaji NCHI MASIKINI ina MATUMIZI MAKUBWA kuliko hata Nchi Tajiri

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Magufuli was better 1000 than kikwete. Na Magufuli tuliletewa na kikwete kurekebisha mule alimo haribu. Umesahau? Alituletea jembe.
Kwa research ipi.Dodoma imebuma,Chato airport inaota nyasi.mawaziri wapo dar, watendaji wikiend wapo dar jtatu dodoma kaa kimara road ushuhudie hizo v8 zinavyotafuna kodi zetu.
Nataka niombe Chato airport nikafugie popo, maana ni useless, ndege ya mwisho kutua pale ni iliyopeleka maiti Hakuna tena itakayotua pale.
 
Magufuli hakuwa Mungu kuna makosa alifanya lkn ukiangalia kwa ujumla amefanya mambo makubwa sana ktk kipindi kifupi generally he was focused hao wanaokulipeni mmseme vibaya nao walipata chance badala ya kudeliver wakaenda kubembea marekani.
Tofautisha propaganda na results,we unazungumzia kufanya propaganda,jambo dogo tu moja tbc wanalirudia mara elf 10 itashindikana kuonekana kafanya makubwa.
 
Tukirudi kwenye awamu ya nne, Rais Kikwete bila Shaka alikua na safari nyingi kuliko awamu ya tano na hii ya sita.. lakini Rais Kikwete aliweza kuendesha nchi na kuajiri kila mwaka na kuongeza mishahara kila mwaka
Kuajiri na kuongeza mishahara pekee sio maendeleo. Maendeleo ni pamoja, na Afya bora, makazi, miuondo mbinu ya simu, umeme, barabara, Ulinzi, kilimo, kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha, kuendeleza elimu, zote msingi sekondari na vyuo. N.k
 
Katiba mpya ndio maendeleo, na hata hii ya sasa ikibadilishwa tunatafuta tena katiba mpya nyinhine ili afya, makazi, kilimo, miuondo mbinu ya simu, barabara, maji safi na salama, Kuboresha elimu N.K vitapatikana.
 
Uxuri wa Jamhuri ya JF kila mmoja huandika na kila mmoja anajua kila kitu.

Magufuli akitumia lita mmoja ya mafuta tuu anakuwa amelipa Tozo za bandarini, ushuru, kodi na kuzalisha faida kwa na Shirika yote yaliyo husika kujitoa, kusafirisha kuihifadhi na kuuza hiyo lita moja.

Vile vile anakuwa dreva wa gari kuhudumiwa, maji ya rejeta , vilainishi, na wana usalama kilipwa, mbali ya kwenye mikusanyiko watu wanaendeleza shuguli za kibiashara na kiuchumi.

Kwa hiyo kwa lita hiyo mmoja iloyotumika ndani ya gari moja ambalo alilitumia Magufuli nchini lilitoa michango ya ajira na kundeleza shuguli za kiuchumi kwa watu zaidi ya 200 kwa kila kituo alichosimama.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…