mbenge
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 4,491
- 9,690
Madam yupo katika "rehearsal" ktk nchi za maziwa makuu kabla ya kuanza ziara za kwenda nchi za mbali za ughaibuni huko kwa mabeberu kutembeza bakuli la misaada.Naona unatafuta ugomvi na Samia. Ndani ya miezi miezi mitano ashaenda Kenya, Uganda, Burundi, Rwanda. Na hapo kuna Korona!