Luther samwel
Member
- May 20, 2020
- 85
- 43
Nilikuwa nafuatilia sana bunge lililopita na nikasikia kabudi amesema kwamba hakuna vita tulivyo shindwa katika historia alitaja nchi kadhaa ambao JWTZ wamewahi kufanya operation.
Katika diplomasia ya mataifa mbalimbali neno linalohusisha matukio ya jeshi humaanisha kwamba serikali iliyopo madarakani haitaki kukubaliana na sera za kimataifa hasa za magharibi.
Tujikumbushe kuhusu Baba wa Taifa alipokuwa kwenye mvutano na IMF na WB mwalimu akitengeneza vichwa vya wanasiasa ambao hata wangelinda sera za ujamaa wa taifa.
Sasa Kabudi anajaribu sana kutumia nguvu za kijeshi katika diplomasia siasa ambazo zimepitwa na wakati. Hii tuliizoea kwa nchi kama Iran na Korea sasa awamu hii inatokea hapa Bongo Mzee Makamba alitabiri kwamba watu watabatizwa kwa ubatizo wa 🔥 moto.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Katika diplomasia ya mataifa mbalimbali neno linalohusisha matukio ya jeshi humaanisha kwamba serikali iliyopo madarakani haitaki kukubaliana na sera za kimataifa hasa za magharibi.
Tujikumbushe kuhusu Baba wa Taifa alipokuwa kwenye mvutano na IMF na WB mwalimu akitengeneza vichwa vya wanasiasa ambao hata wangelinda sera za ujamaa wa taifa.
Sasa Kabudi anajaribu sana kutumia nguvu za kijeshi katika diplomasia siasa ambazo zimepitwa na wakati. Hii tuliizoea kwa nchi kama Iran na Korea sasa awamu hii inatokea hapa Bongo Mzee Makamba alitabiri kwamba watu watabatizwa kwa ubatizo wa 🔥 moto.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿