Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 15,126
- 35,498
Majibu ni kwamba makanisa yote ni ya korohoNaombeni majawabu
Majibu ni kwamba makanisa yote ni ya korohoNaombeni majawabu
Kwa hiyo mimi nijenge nyumba ya Mungu au nijenge nyumba yangu??Kazi ya Mungu si kutengeneza wavivu, alisema watu wafanye kazi siku 6, wapumzike siku 1 tu.
Hawa watakuwa wasukuma
Kwahiyo Roman Catholic sio kanisa la kiroho?!Ya kilokole nadhani..
Roman Catholic ulishasikia wanatoa mtu mapepo na kufanya miujiza?Kwahiyo Roman Catholic sio kanisa la kiroho?!
Yapelekwe TandahimbaKinachonikera hayo makanisa ni magitaa na vinanda kupigwa jumatatu hadi jumapili muda wowote..... Sijui hata kazi wanafanya saa ngapi.
Hayo makanisa yawe pembeni mwa miji waumini wayafate huko
Kuna hela ya sadaka wapiga vyombo wanalipwa hakuna PAYE wala withholding tax inayokatwa....tena mwalimu wa kwaya anaweza akanunuliwa kwa usajiri mkuu na yule anaeleta mzuka kwenye nyimbo za sifaKinachonikera hayo makanisa ni magitaa na vinanda kupigwa jumatatu hadi jumapili muda wowote..... Sijui hata kazi wanafanya saa ngapi.
Hayo makanisa yawe pembeni mwa miji waumini wayafate huko
Ni sawa na Wislam tu kule Zanzibar, si unaona hawana la kufanya kutwa kucha wako vijiweni na misikitini wakinafikiana. na kupiga fimbo watu wanaokula kisa eti Muddy hataki.Makanisa ye kiroho yanafuata masikini, maana wao ndo hutegemea miujiza ya pesa badala ya kufanya kazi
Kiwanja bil 5 .....waumini wa hali chini watafikaje huko ? Hakuna dala dala nyingi.....kufika kila sehemu....Makanisa ye kiroho yanafuata masikini, maana wao ndo hutegemea miujiza ya pesa badala ya kufanya kazi
Nshatokaga na taulo na ndoo ya maji imagine unalala unaskiaHujakaa na walokole wanaoamka usiku wa manane kusali.. Huwezi kulala
Japo kuna mitaa na nyumba zenye vibweka, wakipata mlokole wa kukemea huwa wanamshukuru Mungu 😁