Uzi ukiishia hata hapa tu utakua umepata jibu sahihiMakanisa ye kiroho yanafuata masikini, maana wao ndo hutegemea miujiza ya pesa badala ya kufanya kazi
😁😁 hawa wehu huwaambii kitu aseeOlalalala shika rabaaa shika rabaa
Na hata hayo yaliyopo huko hawasali kwa kukanyagakanya miguu na kukunja ngumi na kuongea kwa kishindo, wao wako na soft prayers tuNaombeni majawabu
Hujakaa na walokole wanaoamka usiku wa manane kusali.. Huwezi kulalaKinachonikera hayo makanisa ni magitaa na vinanda kupigwa jumatatu hadi jumapili muda wowote..... Sijui hata kazi wanafanya saa ngapi.
Hayo makanisa yawe pembeni mwa miji waumini wayafate huko
Na kule kiwanja bei ya mwisho milioni 200Wanahela hata ya kununua kiwanja? Tuanzie hapo!
Kuna Moja nipo nalo karibu na mtaani kwangu wanapiga sana kelele aiseeYa kilokole nadhani..
Inabidi kwenda kuwashitaki..Kuna Moja nipo nalo karibu na mtaani kwangu wanapiga sana kelele aisee
Ushamaliza mjadala ufungwe.Makanisa ye kiroho yanafuata masikini, maana wao ndo hutegemea miujiza ya pesa badala ya kufanya kazi
Exactly 💯 brotherInabidi kwenda kuwashitaki..
heri wenye njaa maana hao watashibishwaUzi ukiishia hata hapa tu utakua umepata jibu sahihi
Kazi ya Mungu si kutengeneza wavivu, alisema watu wafanye kazi siku 6, wapumzike siku 1 tu.Kwanini Mungu hawapi hela ya kujengea Jengo la kumuabudu yeye??
Kelele na ustaarabu/utulivu; wapi na wapi! Uswahili huko ndiko kwenye makelele.Naombeni majawabu