KERO Kwanini ofisi nyingi za serikali mtandao haujawahi kuwa sawa?

KERO Kwanini ofisi nyingi za serikali mtandao haujawahi kuwa sawa?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ukitaka kushughulikia jambo lako lazima utenge takriban siku nzima, ni kuambiwa tu mtandao upo chini mara haupo sawa, tutafika kweli? Nachoka Mimi.
Sio huko TU hatavmakampuni binafsi ilionekana una shida complex BADALA ya wao KUKUPA MTU WA kushugulikia jambo wanakuambia mtandao njoo kesho mfano Airtel, na voda
 
Sio huko TU hatavmakampuni binafsi ilionekana una shida complex BADALA ya wao KUKUPA MTU WA kushugulikia jambo wanakuambia mtandao njoo kesho mfano Airtel, na voda
Kwa hii mitandao ya simu, kuna matatizo yanahitaji muda kuya angalia bosi, haya yanayohusiana na pesa.
Mfano; kama una report hela hazionekani kwa simu yako, au zinapotea nk nk
 
Wakati mwingine mtandao upo vizuri tu ila kwa sababu hawawezi au hawataki kukupa huduma/majibu wakati huo wanakuambia tu mtandao haupo sawa au uko chini ili uondoke bila kuulizia maswali mengi.
 
Wakati mwingine mtandao upo ila kwa sababu hawawezi au hawataki kukupa huduma/majibu wakati huo wanakuambia tu mtandao haupo sawa au uko chini ili uondoke bila kuulizia maswali mengi
Kwa style hii,hatutoboi
 
Ofisi unakuta kuna vizee kibao, Sasa unadhani kutakuwa na la maana hapo.
 
Ukitaka kushughulikia jambo lako lazima utenge takriban siku nzima, ni kuambiwa tu mtandao upo chini mara haupo sawa, tutafika kweli? Nachoka Mimi.
Vipi ofisi ya private mtandao upoje? Ndio maana kukawa na sera ya ubinafshaji
 
Back
Top Bottom