GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,736
- 109,327
Huenda ikawa ni Zawadi ambayo Mwenyezi Mungu amenipa kwa Kuniumba nayo, ila kwa Wanadamu huwa inanipa wakati mgumu Kwao kwani huniona kama ni Mchawi Kwao kwakuwa nikiwashauri Jambo au kuwatahadharisha nalo Wakinipuuza tu na kufanya Wajuavyo huwaharibikia na kuanza kuniona ni Mchawi na nimewaharibia.
Na pia naomba kujua ni kwanini ikitokea tu Nimemchukia Mtu basi atakuwa na Mabalaa, Mikasa na Matatizo mengi Maishani mwake ila Nikimpenda ( Nikimkubali ) tu Mtu yoyote kutoka Moyoni mwangu atakuwa anafanikiwa mno na atainuka haraka Kimaisha na Kimaendeleo?
Nitawashukuru Wajuvi mkinielimisha.
Na pia naomba kujua ni kwanini ikitokea tu Nimemchukia Mtu basi atakuwa na Mabalaa, Mikasa na Matatizo mengi Maishani mwake ila Nikimpenda ( Nikimkubali ) tu Mtu yoyote kutoka Moyoni mwangu atakuwa anafanikiwa mno na atainuka haraka Kimaisha na Kimaendeleo?
Nitawashukuru Wajuvi mkinielimisha.