Kwanini ni nadra kukuta wasabato matajiri?

Kwanini ni nadra kukuta wasabato matajiri?

Nafikiri mzee Zakaria yule tajiri wa mabasi aliyewapiga risasi wasiojulikana enzi za Jiwe ni Msabato.
Mkatoliki yule na magari yake yote yalikuwa yameandikwa majina ya watakatifu
 
  • Thanks
Reactions: K11
1750448368058.jpeg
 
Wasabato ni moja ya dhehebu lenye waumini wengi wa kikristo nyuma ya Roma na Lutheran.

Tofauti na ilivyo kwa waroma na walutheran kwa nini ni vigumu kukuta Wasabato kwenye safu za juu za kiuchumi?

Je, ni mitazamo, mazingira, utamaduni, imani au mafundisho yapi huchangia ?
Unamjua Gachuma? Nenda kandanya ziwa wapo kibao, matajiri almost wote wa mkoa wa Mara wengi ni wasabato mzee. Tembea uone
 
Wameziba mianya ya upigaji,kila Senti inatumika ipasavyo yaani wamenyooka kama rula tofauti na madhehebu mengine ambayo wao upigaji wa pesa za "waamini" ni sifa tukuka,ndio maana huwezi shangaa kukuta
Padre wa RC anamiliki hekari za kutosha ndani ya manispaa ya tabora keep left ya urambo kwenye soko la miwa tena amezungushia na fence ya takribani km 15,mpaka unajiuliza huyu mchunga kondoo wa bwana pesa ametoa wapi !!?
 
Nafikiri mzee Zakaria yule tajiri wa mabasi aliyewapiga risasi wasiojulikana enzi za Jiwe ni Msabato.
Mkatoliki kila Jumapili yupo Kanisani Pale Tarime mjini
 
  • Thanks
Reactions: K11
Wameziba mianya ya upigaji,kila Senti inatumika ipasavyo yaani wamenyooka kama rula tofauti na madhehebu mengine ambayo wao upigaji wa pesa za "waamini" ni sifa tukuka,ndio maana huwezi shangaa kukuta
Padre wa RC anamiliki hekari za kutosha ndani ya manispaa ya tabora keep left ya urambo kwenye soko la miwa tena amezungushia na fence ya takribani km 15,mpaka unajiuliza huyu mchunga kondoo wa bwana pesa ametoa wapi !!?
Mzee acha kamba basi

Unaelewa utaratibu wa RC Priest kumiliki hata gari tu!??
 
Unamjua Gachuma? Nenda kandanya ziwa wapo kibao, matajiri almost wote wa mkoa wa Mara wengi ni wasabato mzee. Tembea uone
ingia youtube search > msiba gachuma

kulikuwa na msiba unaomhusu wa mtu wa karibu yake mwaka jana uliongozwa na baba askofu

sio kila mtu wa Mara nj msabato, wapo pia waroma na walutheran
 
Kila mtu akiwa dini flani huziona dini nyingine ni cult, waroma tunawashangaa kubusu na kupigia magoti masanamu, walokole tunawashangaa wachungaji kuigiza miujiza na kutajirika kwa sadaka, walitheran tunawashangaa kuruhusu wanawake kusalisha, n.k.
Biblia imeandikwa na Roman Catholic, Ukristo pia uneanzishwa na RC, wengine wote ni "wana wapotevu"
 
Wasabato wengi ni wakerewe na wapare.
Sasa tangu lini uliona tajiri wa kipare?
Wakerewe ni Wakatoloki wengi, Wajita ndio kuna Wasabato wengi, Wanyantunzu na Wajaluo haya ndio makabila yenye wasabato wengi kanda ya Ziwa
 
Back
Top Bottom