Kwanini ni lazima waende tanga mdomera?

Kwanini ni lazima waende tanga mdomera?

Desierto

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
890
Reaction score
3,091
Kwani arusha hii imejaa kiasi cha kuwapeleka wamasai huko msomera,

Au wangetenga tu eneo huko huko ngorongoro kama kijiji maana nyumba za huko zipo mbali mbali na wakatumia mbinu ambayo ingechukua muda kuwahamisha kuliko kuwahamisha kwa mkupuo,

Maana kuna wengine wana ndugu zao wanaona ni taabu kwenda mbali.
 
Msomera inafaa kwa ajili Yao mifugo na kilimo ni eneo zuri sana
 
Kwani arusha hii imejaa kiasi cha kuwapeleka wamasai huko msomera,

Au wangetenga tu eneo huko huko ngorongoro kama kijiji maana nyumba za huko zipo mbali mbali na wakatumia mbinu ambayo ingechukua muda kuwahamisha kuliko kuwahamisha kwa mkupuo,

Maana kuna wengine wana ndugu zao wanaona ni taabu kwenda mbali.
Wangepelekwa Zanzibar me naona
 
Kwani arusha hii imejaa kiasi cha kuwapeleka wamasai huko msomera,

Au wangetenga tu eneo huko huko ngorongoro kama kijiji maana nyumba za huko zipo mbali mbali na wakatumia mbinu ambayo ingechukua muda kuwahamisha kuliko kuwahamisha kwa mkupuo,

Maana kuna wengine wana ndugu zao wanaona ni taabu kwenda mbali.
Serkaikari yako na ubunifu eti msometa ni mbali hawawezi rudi
 
Back
Top Bottom