Kwanini ni Gazeti la Mwananchi tu?

Kwanini ni Gazeti la Mwananchi tu?

Mimi nimemwelewa mtoa mada ni kwamba mbona Mwanachi wanaonekana wako mstari wa mbele kuliko vyombo vi gine??ndio maana anahimiza na vyombo vingine vijikite MKIRU pia
 
Nadhani huyu ndio alikuwa mkusanyaji Mkuu wa taarifa Gazeti la Mwananchi huko Kibiti
 
Je kuna uhusiano wowote wa kupotea kwake? Je tunakumbuka kuwa serikali kupitia jeshi la Polisi ilisema taarifa zote kuhusu Kibiti zitakuwa zikitoka kwake na sio vinginevyo? Je kwa nini? Na kwanini mwandishi huyu aliendelea kubaki huko huko Kibiti?
 
Back
Top Bottom