T-Bagwell
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 1,174
- 2,290
- Thread starter
- #41
Hapana kwa hapo kosa Sio la daktari wala Hospitali kosa lipo Hapo BIMA NHIF..
Hospitali hawawezi kukutambua wewe usipokuwa na Bima na hataukileta Copy ni lazma Iwe verified na Bima ili kupata uhakika
Kwa kusema kosa ni la NHIF hauoni kwa mikakati hiyo ni dhahiri wana lengo la kumkwamisha mteja wao zaidi ya kumsaidia??
Kama unaweza kutoa hela bank pasipo card za bank?? Kwanini usiweze okoa uhai wa mtu kisa tuu card??
Nilijaribu kuwaza kwa wanaopata ajali kwa bahati mbaya labda card ikapotea au akiwa ameiacha mbali na alipopatia ajali itamlazimu aingie mfukoni au akose huduma kisa tuu card??
Wewe unaona NHIF NA HOSPITALI WALICHOKUBALIANA NI SAWA??