apolycaripto
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 644
- 225
Tarime ninavyoifahamu kwa mavurugu,nashangaa kwa nini Nguvu ya umma haikutumika kama ilivyotokea Arusha, pindi Tundu Lissu alivyokamatwa na kutiwa lupango.Kilicho mpeleka Tundu Lissu Tarime ni kuwatetea wana umma hao kwa mateso na vifo kupitia CDM.Nimeshangaa kwa nini Wana Tarime walibana kimya bila hata maandamano ya kutia kashikashi mkombozi huyu kuachiwa kama desturi yao.Je! kwa hali hii inamaana hata wao hawakumtaka? ama dola iliwazidi nguvu?