Vipi kuhusu wenye wake wanne?(hapo kwenye mwil mmoja)
mwili mmoja unajipigaje pampu?miili miwili pale wenye via vya uzazi tofaut ili mambo yaende
kwa nini ukifanya ndani ya ndoa si dhambi?
wenye wake wanne hapo maana yake wote wanne na huyo mmoja ni wazinzi na pia hakuwezi kuwa na mwili mmoja maana ni mjumuiko wa watu 5 ambao hawawezi kuleta kizazi kimoja inamaanisha kila mwanamke ataleta chake haina tofauti na kwenda madanguro na kuzalisha wanawake wanne,kuoa ni pingu ya maisha yaani mmejienclose wenyewe to finalbreath nje ya hapo ni dhambi
Kama kweli ingekuwa dhambi basi watoto wa nje wasingalizaliwa na tena kwa nini hufanikiwa sana kulinganisha na wa ndani ya ndoa?
. Hapa ndo uwa napata hofu na usemi wa Mungu anajua ya jana ya kesho na yajayo....kakataza ngono na kulana tigo....ila sijui ilikuwaje alisahau kuwa wanadamu watundu....sasa hivi wanakulana mpaka wananyonyana vikojoleo na kula samadi.....vipi inakuwaje?
huko ndo ngono yenyewe ,mungu alimuumba adam na hawa si adam na hawa wakiwa saba period
ukijipa muda kutafakari, dhambi ni makubaliano ya jamii fulani kwamba mambo kadhaa ni kosa kuyafanya. kwa hiyo tendo la ndoa linaweza kuwa dhambi kwa mujibu wa makubaliano ya jamii husika. kwa walio jitambua, tendo la ndoa si dhambi kwa namna yeyote ile. la msingi ni kutumia busara usitembee na mtoto mdogo, mkubaliane n.k dhambi ni neno karibia litapotea kwenye huu ulimwengu.
Hivyo vitabu aliwapaje?
Kama unataka kujua kama ni dhambi hau si dhambi pata taarifa kuwa mkeo/mumeo au mpenzi wako anafanya hiyo kitu na mtu mwingine huo utafiti tu unatosha.
Hebu tufumbuane akili hapa, kwa nini Mungu alikataza ngono? Ni kitu gani kinaifanya ngono iwe dhambi na kusugua meno, au kumshika mkono jinsia tofauti isiwe dhambi?
Je, kwa nini ngono si hatia kwa wanyama lakini ni hatia kwa wanadamu?
Ikapanuliwa tena, "ukimtazama mwanamke/mwanamume kwa kumtamani unazini nae" what is the exact context of it being sin and not other action?
Tujadili kama great thinkers wadau!
Kwa maana nyingine Unamaanisha quran inadanganya sio?
Ngono si dhambi, ni tendo takatifu kwa wanandoa. Zinaa na uasherati ndio dhambi na uchafu uliopindukia.
hadi leo adam na hawa bdo wapo sawa kwa idadi? Vipi kama akina hawa wamezid,hao waliozidi wajitie vidole na kukosa watoto hadi wanaingia kaburini au wamtafute adam mwenye hawa mmoja wawe hawa wa wa pili?