Kwanini ndoa nyingi leo zimejaa migogoro?

Kwanini ndoa nyingi leo zimejaa migogoro?

tatizo kuu ni kwamba wanawake wanahamasishwa kuwa wana haki sawa na waume zao, kwaiyo ni kama vile tu ambavyo fahari wawili hawawezi kuishi zizi moja. Huu utamaduni wa kizungu wenyewe unawashinda na ndio maana wana ndoa za mikataba na wakifikisha miaka mitano wana fanya annivesary kubwa sana kusherekea.,

zamani ndoa hazikuwa na migogogro coz women were submissive to their husbs kwa kila spect. ukweli ndio huo

Hakuna mzazi anayekaa na kufunda watoti wake siku hizi. Wanawake wa sasa wanauwezo wa kutafuta pesa anaweza ishi kula kuvaa na kusomesha watoto wake sasa kwa nini avumilie mateso? Zamani walivumilia mateso kwa kuwa hawakuwa na uwezo wa kifedha so mi naona kila mtu ajue jukumu lake na ukiingia kwa ndoa ujue ndoa ni ya wawili hakuna mtu mwenye jukunu la kuibeba ndoa kama msalaba
 
tatizo wanawake kukosa heshimu ndani ya ndoa... wengine wanadharau waume zao na kupelekea upendo kupungua
 
Watu hawana hofu ya Mungu, walaaaa hawaelewi nini maana ya ndoa, watu hata hawajitambui wht they want, wana negative attitude toward ndoa n yet wanaoa au kuolewa kisa fulani kaolewa au kaoa, au kisa umri umekwenda basi atakayepita mbele yangu huyohuyo, wengi wanaingia kwenye ndoa wakiwa bado hawajakubali kuachana na ujana na kukubali kuifurahia ndoa haswaaaa ukiwa na mtu sahihi, huo ndio uono wangu.
 
Women access to wealth education ni sababu mojawapo kubwa kuliko yoyote hata advanced countries ndo ilivo. Zamani walivumilia kwa sababu ya shida but now days the case is different. Cha kufanya ni kumrudia Mungu na kufuata maelezo yake, wanandoa kuheshimiana na kuvumilia ndo itafanya marriage Ku survive.
 
tatizo kuu ni kwamba wanawake wanahamasishwa kuwa wana haki sawa na waume zao, kwaiyo ni kama vile tu ambavyo fahari wawili hawawezi kuishi zizi moja. Huu utamaduni wa kizungu wenyewe unawashinda na ndio maana wana ndoa za mikataba na wakifikisha miaka mitano wana fanya annivesary kubwa sana kusherekea.,

zamani ndoa hazikuwa na migogogro coz women were submissive to their husbs kwa kila spect. ukweli ndio huo

hapa kuna point sana,hii kila mtu kwenda shule is a good thing,lakini kukosa unyenyekevu kwa mwanaume wako is the biggest challenge,some women wanashindwa kutofautisha,sidhan kama kuna a man anapenda mwanamke ampande kichwani hata kama ana PhD
 
Ndoa haibebwi na wasichana tu ndoa ni ya watu wawili mme na mke. Vijana wa kiume wa siku hizi nani anawafunda? Zaidi ya kudanganyana vijiweni? Au unazungumzia ndoa za jinsia moja ya ke? Fundeni vijana wenu wakike kwa wakiume wajue majukumu yao

Hapo ndipo wanaume wanapokosea huwa wanahisi ndoa ni ya wanawake tu, hata madhaifu yao wanaona ni ya wanawake tu, sijui tumejioa, lawama kwetu tuuuu, utadhani sie ni miungu sio binadamu wenye nyama, hhawajui maana ya ndoa kabisaaaaaa!
 
Hapo ndipo wanaume wanapokosea huwa wanahisi ndoa ni ya wanawake tu, hata madhaifu yao wanaona ni ya wanawake tu, sijui tumejioa, lawama kwetu tuuuu, utadhani sie ni miungu sio binadamu wenye nyama, hhawajui maana ya ndoa kabisaaaaaa!

kwani na nyie mnaofundwa kwenye kitchen party imesaidia nini zaidi ya kuongeza majanga... hata haina umuhimu sikuhizi!!! hapo ni kila mtu kutekeleza jukumu lake tu
 
Women access to wealth education ni sababu mojawapo kubwa kuliko yoyote hata advanced countries ndo ilivo. Zamani walivumilia kwa sababu ya shida but now days the case is different. Cha kufanya ni kumrudia Mungu na kufuata maelezo yake, wanandoa kuheshimiana na kuvumilia ndo itafanya marriage Ku survive.

Unajua sio kwamba zamani ndoa hazikuwa na migogoro! La hasha ila kuna sababu zilipelekea haswaa wanawake wakawa watiifu na wenye uoga juu ya waume zao, hata afanyiwe baya lipi yumo tu na hathubutu kusema nyumbani maana hakuna atayemuelewa, mila zilikuwa za kinyanyasaji sn, ila sasa mtu sio tegemezi tena, ana elimu na kazi nzuri alafu tena umletee maluwe luwe!! Khaaaa hapo tegemea bonge la mgogoro au kuvunjika ndoa kabisaaaa
 
Haya "Tamalisa" Hapo Ndio Kwetu Sisi Wachungaji. Cha Msingi Hapo Sasa Nitaongea Kiroho Zaidi, Kwanya Pia Mtu Anaefungisha Hiyo Ndoa Ni Lazma Awe Mtumishi Sahihi Wa Kweli Na Awe Na Neema Na Upako Wa Roho Mt. Ili Yale Anayotamka Yakawe Na Nguvu Ktk Iyo Ndoa. Pili Tatzo Kubwa La Makanisa Mengi Au Wachungaji Wengi Wamekamatwa Na Hawajagundua Siri, Pale Wanaposema Je Utampenda Ktk Shida Na raha, Ugonjwa Na uzma, Umaskin Na utajiri, Mateso Na Amani
 
Haya "Tamalisa" Hapo Ndio Kwetu Sisi Wachungaji. Cha Msingi Hapo Sasa Nitaongea Kiroho Zaidi, Kwanya Pia Mtu Anaefungisha Hiyo Ndoa Ni Lazma Awe Mtumishi Sahihi Wa Kweli Na Awe Na Neema Na Upako Wa Roho Mt. Ili Yale Anayotamka Yakawe Na Nguvu Ktk Iyo Ndoa. Pili Tatzo Kubwa La Makanisa Mengi Au Wachungaji Wengi Wamekamatwa Na Hawajagundua Siri, Pale Wanaposema Je Utampenda Ktk Shida Na raha, Ugonjwa Na uzma, Umaskin Na utajiri, Mateso Na Amani. Kwa Iyo Hayo Lazma Yatokee
 
Kwa uzoefu wangu ndoa nilizoshuhudia zikivunjika ni kwa sababu kuu tatu:

1. usaliti/uzinzi - hili ndo baba lao!!
2. manyanyaso
3. pesa za wanandoa (I mean whose money is family money, za baba pekee? za mama pekee? au za wote?

Hiyo namba 3 watu wengi hawaionagi, hadi waingie ndoani ndo wanaona mto wake
 
Haya "Tamalisa" Hapo Ndio Kwetu Sisi Wachungaji. Cha Msingi Hapo Sasa Nitaongea Kiroho Zaidi, Kwanya Pia Mtu Anaefungisha Hiyo Ndoa Ni Lazma Awe Mtumishi Sahihi Wa Kweli Na Awe Na Neema Na Upako Wa Roho Mt. Ili Yale Anayotamka Yakawe Na Nguvu Ktk Iyo Ndoa. Pili Tatzo Kubwa La Makanisa Mengi Au Wachungaji Wengi Wamekamatwa Na Hawajagundua Siri, Pale Wanaposema Je Utampenda Ktk Shida Na raha, Ugonjwa Na uzma, Umaskin Na utajiri, Mateso Na Amani. Kwa Iyo Hayo Lazma Yatokee
 
Hapo ndipo wanaume wanapokosea huwa wanahisi ndoa ni ya wanawake tu, hata madhaifu yao wanaona ni ya wanawake tu, sijui tumejioa, lawama kwetu tuuuu, utadhani sie ni miungu sio binadamu wenye nyama, hhawajui maana ya ndoa kabisaaaaaa!

Na ndio maana siku hizi mtu unasepa tu kwanini uteseke eti kisa ndoa chakufia nini. Mabibi zetu walinyanyaswa makusudi walinyimwa elimu na kuambiwa mwanaume ndo wakumheshimu, ila siku hizi kila mwanamke anafanya kazi anajiweza hawataki ukandamizaji.

Pia wanaume wengi wa siku ni waoga hasa kwa mwanamke aliye wazidi kila kitu. Wanaume kukosa hekima busara kama viongozi wa familia imechangia sana.Badala ya kuhandle issues wanatoa lawama. Ndoa yoyote bila kuelewana na kama watu walioana kama fashion na wao waonekane walipendanie hela au kitu flani lazima zivunje tu. Watu waingie ndoani wakiwa wamejiandaa na kuji commete kweli kweli na mambo ya ujana waweke pembeni kupendana na kuchukuliana madhaifu bila hivo ndoa nyingi Zita kwishney.
 
Na ndio maana siku hizi mtu unasepa tu kwanini uteseke eti kisa ndoa chakufia nini. Mabibi zetu walinyanyaswa makusudi walinyimwa elimu na kuambiwa mwanaume ndo wakumheshimu, ila siku hizi kila mwanamke anafanya kazi anajiweza hawataki ukandamizaji.

Pia wanaume wengi wa siku ni waoga hasa kwa mwanamke aliye wazidi kila kitu. Wanaume kukosa hekima busara kama viongozi wa familia imechangia sana.Badala ya kuhandle issues wanatoa lawama. Ndoa yoyote bila kuelewana na kama watu walioana kama fashion na wao waonekane walipendanie hela au kitu flani lazima zivunje tu. Watu waingie ndoani wakiwa wamejiandaa na kuji commete kweli kweli na mambo ya ujana waweke pembeni kupendana na kuchukuliana madhaifu bila hivo ndoa nyingi Zita kwishney.

Kabisaaaa watu hudhani "kuoana" ni ile kufunga ndoa kanisani au msikitini au huko kwingineko tuuu! Kuoana kunachukua muda ati mpaka mblend muone kweli you are ment for each other it takes time, kwamba mko tayari kuchukuliana kwa kila hali ukijumlisha na kuwa na hofu ya Mungu.

Sasa wanawake tunavutiwa na pesa wanaume mvuto, hapo mkishafunga ndoa(maana hakuna kuoana) timbwili linaanza, usishangae ndoa kufa after 3months.
 
kwanza kabsa ni muhmu wote muwe mmeokoka, na kila mmoja awe na hofu ya mungu, mtu wa kusamehe yaan kutokipa ovu kwa ovu, na mkijua kuwa mungu ndio dereva wa maisha yenu, muwe waombaji, kuwa na upendo wa kimungu ambao huvimilia, hauhusudu, hauhesabu mabaya, hautafuti mambo yake. hapo mtafika salama na mtajua kuwa ndoa furaha
 
kwani na nyie mnaofundwa kwenye kitchen party imesaidia nini zaidi ya kuongeza majanga... hata haina umuhimu sikuhizi!!! hapo ni kila mtu kutekeleza jukumu lake tu

There you are! Kama kila mtu atatambua nafasi yake walaaa there is no problem, na kusiwe na egoism btn the two

Hizo kitchen party nani kakwambia wanafanya kufundana? Watu wanafanya wapate vyombo tu, huo ujinga sitaki hataaa kuusikia, yawezekana baada ya shughuli muulize binti ulifundishwa nn walaa hakumbuki, mawazo yoteee yapo kwenye "how many gifts ll i get"
 
Kabisaaaa watu hudhani "kuoana" ni ile kufunga ndoa kanisani au msikitini au huko kwingineko tuuu! Kuoana kunachukua muda ati mpaka mblend muone kweli you are ment for each other it takes time, kwamba mko tayari kuchukuliana kwa kila hali ukijumlisha na kuwa na hofu ya Mungu.

Sasa wanawake tunavutiwa na pesa wanaume mvuto, hapo mkishafunga ndoa(maana hakuna kuoana) timbwili linaanza, usishangae ndoa kufa after 3months.

Wengi ndoa wamefanya fashion hasa wadada wakiona mashoga zao wameolewa na wao wamebaki wana paniki. Wanakutana na yoyote bila hata Ku endana tabia zao kiundani wanakimbilia kanisani .
Hivo hivo na mwanaume kwakua wenziwe wameoa naye baada ya mda michepuko kwa sana.
 
Wanawake wamekuwa na fursa sawa na wanaume. Ni kama 50-50 sasa. Mwanaume akimwaga mboga wao wanamwaga ugali na sufuria lake.
 
Back
Top Bottom