Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,919
- 183,334
Wanawake wamekuwa na fursa sawa na wanaume. Ni kama 50-50 sasa. Mwanaume akimwaga mboga wao wanamwaga ugali na sufuria lake.
Na jiko tunalimwagia maji kabisaaa kusipikike tena.
Hivi mbona nyie mnaona sisi ndio tatizo tu!!! Nyie ni masaint eti??