Kwanini ndege ya Malyasia ishindwe kupatikana....?????

Kwanini ndege ya Malyasia ishindwe kupatikana....?????

King_Villa

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2012
Posts
575
Reaction score
380
Jamani kwa dunia ya sasa ilipo ,kwa sayansi iliyofanikiwa kutoa matokeo mazuri duniani ,MI NIMESHINDWA KUAMINI KAMA NI KWELI NDEGE IMESHINDIKANA KUPATIKANA AU KUNA HILA ZINGINE.......?
 
Ndio hapo sasa uamini na ile sayansi ya kiafrika kuwa ipo, manake watu ni wabishi sana!
 
Wanasema inawezekana ilikuwa hacked kwakutumia smartphone!
.
.
 
sasa ivivmtasikia na treni imepotea.maajabu hayaishagi duniani
 
Hapo sasa aisee. Ila inaonekana walio behind hiyo kitu wanajua kumess na technology.
 
si wameconclude kuwa iliwent down southern part ya indian ocean
 
Wik Mbili Nzma Kweli Binadamu Ndo Wakuogopeka Na Sio Mnyama Ivi Kama Ni Ugaidi Uitweje Huo Au Ndo Ivo Mambo Ya Miujiza ?
Sitak Kujua Sana Let Me Still In My Tz Amani Itawale Tu, Maana Mpaka Uko Kwenye Matecknolg Yame Shndwa Ndo Ije Kua Hapa Tz Duh
 
Wik Mbili Nzma Kweli Binadamu Ndo Wakuogopeka Na Sio Mnyama Ivi Kama Ni Ugaidi Uitweje Huo Au Ndo Ivo Mambo Ya Miujiza ?
Sitak Kujua Sana Let Me Still In My Tz Amani Itawale Tu, Maana Mpaka Uko Kwenye Matecknolg Yame Shndwa Ndo Ije Kua Hapa Tz Duh

Amani ama Utulivu? Hivi unawaona Kenya lakini? Na istoshe ile operesheni ya kukimbiza wahamiaji haramu....nna wasiwasi mkubwa something will happen in the recent future. Omba sana yasikukute.
 
hiyo ndege si ndo yule alieenda nyumba ndogo mpaka leo kagoma kurudi home duu kazi ipo..
 
jibu ni rahisi kuna kitu kinaitwa degertuary box ndani ya ndege ukiharibu kibox hiko utakua umeharibua kila kitu kwenye ndege maana hawataweza kuona kiwanja wala kujua wapo wapi wala kushuka chini au kupanda zaidi ya kuzunguka tu angani hadi mafuta yaishe ndege idondoke na hata ikidondoka haiwezi kuonekana na kifaa chochote kile labda mavo tu
 
Back
Top Bottom