furaha mbughi
Member
- Mar 15, 2015
- 81
- 12
Ukija kuipata ndege inayo tumia maji ndo utaona side mirror
aliyekuambia uposti thread nyingi hata kama za kitoto kakudanyanya nilishakushauri urudi facebook unakera sana na post zako hazina maanawakuu vyombo vyote vya usafiri kama magari,pikipiki,baiskeli vina side mirror za kumuongoza dereva.lakini kwa nini ndege hazina SIDE MIRROR. mwenye kufahamu hili atujuze
Ukawii kusema , mbona ndege haina ngao
wakuu vyombo vyote vya usafiri kama magari,pikipiki,baiskeli vina side mirror za kumuongoza dereva.lakini kwa nini ndege hazina SIDE MIRROR. mwenye kufahamu hili atujuze
Baskel pia hazinawakuu vyombo vyote vya usafiri kama magari,pikipiki,baiskeli vina side mirror za kumuongoza dereva.lakini kwa nini ndege hazina SIDE MIRROR. mwenye kufahamu hili atujuze
ndege hazirudi reverse ndio maana
halafu huko angani hakuna foleni
wakuu vyombo vyote vya usafiri kama magari,pikipiki,baiskeli vina side mirror za kumuongoza dereva.lakini kwa nini ndege hazina SIDE MIRROR. mwenye kufahamu hili atujuze
lukelo sakafu aka mzee wa mathread; Umeambiwa ndege ni sawa na magari yanafuatana njia???atazame ndege zinazokuja nyuma
wakuu vyombo vyote vya usafiri kama magari,pikipiki,baiskeli vina side mirror za kumuongoza dereva.lakini kwa nini ndege hazina SIDE MIRROR. mwenye kufahamu hili atujuze
wakuu vyombo vyote vya usafiri kama magari,pikipiki,baiskeli vina side mirror za kumuongoza dereva.lakini kwa nini ndege hazina SIDE MIRROR. mwenye kufahamu hili atujuze
Ndege zina reverse mkuu...
Na meli je mbona hujauliza?!!
Shule zimefungwa wazee wa madesa....swali gani hili???pitia pitia vitabu vya physics acha uvivu??sasa hivi hatawakuu vyombo vyote vya usafiri kama magari,pikipiki,baiskeli vina side mirror za kumuongoza dereva.lakini kwa nini ndege hazina SIDE MIRROR. mwenye kufahamu hili atujuze
sio ungo mkuu