Kwanini ndege hazina kioo cha pembeni (Side mirror)?

Kwanini ndege hazina kioo cha pembeni (Side mirror)?

mbona hujauliza kwa nini ndege haina trailer/ tela?
 
Aisee,pale mbele kwa rubani Kuna kitu Kama dirisha/kioo ambacho anaweza kuchungulia nje,chini Kuna ground Injinia ambaye huangalia usalama Ili ndege moja isigonge nyingine..angani ndege huruka kwa kuongozwa na waongoza ndege kwahiyo aina haja ya side mirror,angani rubani akitaka kukata kulia/kushoto,kushuka chini,juu rubani anaomba kwa waongoza ndege na kuluhusiwa...

hilo ndio jibu,na faida mpya imepatikana.
Congra2 muhumakilo jr
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom