Ndekrepha
JF-Expert Member
- Jun 4, 2020
- 1,506
- 2,652
Kwa nini mfumo huo ulikufa?Kila kitu tulichokijaribu katika mfumo ule kimekufa , Ikiwemo miradi isipokuwa chama na katiba hiyo yenye elements za kikoloni. Lakini mpango wa kuifanya nchi hii iwe mahali pazuri pa kuishi. HAKUNA !