Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,371
- 33,019
Kwa sababu zinaongozwa na watu wenye akili kama za wanaccmHabari Wadau,
Katika kufanya Tafit zangu nimegundua kua nchi nyingi za watu weus ni Maskin na kubaki na swali la kwanini sisi watu weusi.
Mfano Bara la Africa ukiangalia kuna nchi nyingi tu ila asilimia kubwa nchi za watu wenye asili ya weupe wote wana maendeleo japo wamepakana na nchi za watu weus, sababu ni nin?
Watu weus tunakwama wapi?