KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Kwani wewe umeelewa nini?Bora umelitambua hilo mapema
Kwani wewe umeelewa nini?Bora umelitambua hilo mapema
Tafuta kitabu fulani kinaitwa "economic hitman" utayajua kwa undani.Hivi ni kwanini nchi za Magharibi hupenda kukopesha zaidi nchi Maskini kwenye miradi ya huduma za jamiii badala ya Uzalishaji?
Mikopo italipika vipi wakati pesa nyingi wanatukopesha kwa ajili ya huduma za jamiii?
Na kwanini tunapenda kupokea? Kwanini tusiwaambie watukopeshe zisaidie kwenye Uzalishaji zaidi?
Masikini ni masikini tu hata kuongeza akili hawezi. Sasa kama wamekukopesha za huduma badili zile mnazozalisha wenyewe kupeleka kwenye maendeleo. Umeenda kumkopa mtu pesa ya maendeleo nyumbani kwako akakulazimisha kuwa atakukopesha kwa ajili ya chakula na mambo mengine yasiyo ya kimaendeleo basi wewe pokea alafu ile ya kwako uliyokuwa nayo kwa ajili ya chakula ipeleke kwenye maendeleo
Umezaliwa lini?
Viwanda karibia vyote wakati wa uongozi wa Mwalimu, vilijengwa kwa mikopo:
1) viwanda vya nyuzi na nguo
2) Kiwanda vya bia na sigara
3) Matairi
4) Kiwanda cha kuunganisha malori ya scania na matrekta aina ya valmet
5) Na vingine vingi - vyote vilishindwa kujiendesha kwa sababu mbalimbali, kubwa kuliko zote, ukosefu wa weledi.
"Tutazungushana bure"Kwani wewe umeelewa nini?
Maana yake ni kwamba nimekudharau tokana na historia yako. Au unataka nikukumbushe?"Tutazungushana bure"
Ilimradi hauvunji taratibu na sheria za JF, unawezakufanya chochote mkuu.Maana yake ni kwamba nimekudharau tokana na historia yako. Au unataka nikukumbushe?
Mimi sikuzungumzia maswala ya WB katika bandiko langu, ni wewe uliyeibua hilo. Sasa weka hayo unayoyajua ya mkopo wa WB katika kilimo bora ili tuyajadili.Yani hujui kuwa Tanzania ni moja wa mnufaika wa mikopo ya kilimo bora na world bank... Mbona umeandika kama una data Sana kuhusu maswala ya kilimo
1) Kwanza sijui kama ni kweli unachodai. Hujaonyesha namba yoyote.Hivi ni kwanini nchi za Magharibi hupenda kukopesha zaidi nchi Maskini kwenye miradi ya huduma za jamiii badala ya Uzalishaji?
Mikopo italipika vipi wakati pesa nyingi wanatukopesha kwa ajili ya huduma za jamiii?
Na kwanini tunapenda kupokea? Kwanini tusiwaambie watukopeshe zisaidie kwenye Uzalishaji zaidi?
Asante ndugu yangu.Hapa ndipo ninapokuaminia mkuu Hamatan.