tamsana
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 3,241
- 7,111
Faida inayotokana na uzalishaji inaishia kwa wachache, ndio maana wanasaidia kwenye maeneo ambayo yanawagusa wengi.Hivi ni kwanini nchi za Magharibi hupenda kukopesha zaidi nchi Maskini kwenye miradi ya huduma za jamiii badala ya Uzalishaji?
Mikopo italipika vipi wakati pesa nyingi wanatukopesha kwa ajili ya huduma za jamiii?
Na kwanini tunapenda kupokea? Kwanini tusiwaambie watukopeshe zisaidie kwenye Uzalishaji zaidi?