The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,884
Ukitazama Mikataba ya Azam TV kwa mpira wa Tz unaona kabisa mabilioni mengi yanawekeza kwenye mpira wa Simba na Yanga tu...
Wakati zipo nchi hazina uwekezaji huo lakini zinaaandaa michuano ya kimataifa..
Kwanini hatufikirii kuandaa
Africa nations cup?
Au world cup under 20?
Au common wealth games?
Au intercontinental Cup?..
Women world cup??
World club championship?
Nafikiri imefika wakati sasa tuanze kufikiria mambo yatakayo leta faida kwa nchi kiujumla kuliko huu mpira wa Manara na Mzee Mpili.
Serikali isihirikiane na wawekezaji binafsi kama Azam kuandaa baadhi ya michezo ya kimataifa tupate faida ya kweli..
Wakati zipo nchi hazina uwekezaji huo lakini zinaaandaa michuano ya kimataifa..
Kwanini hatufikirii kuandaa
Africa nations cup?
Au world cup under 20?
Au common wealth games?
Au intercontinental Cup?..
Women world cup??
World club championship?
Nafikiri imefika wakati sasa tuanze kufikiria mambo yatakayo leta faida kwa nchi kiujumla kuliko huu mpira wa Manara na Mzee Mpili.
Serikali isihirikiane na wawekezaji binafsi kama Azam kuandaa baadhi ya michezo ya kimataifa tupate faida ya kweli..