Davion Delmonte Jr.
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 2,149
- 1,720
Mimi kura yangu ukawa. Hivi nyie mliopigwa upofu. Ni mwaka jana tu serikali ilichakachua katiba pamoja na kugharamia mabilioni yote hayo.
Kimsingi kabisa sio kwamba naipinga kwamba haijafanya chochote CCM.
Ila Kuna mambo ya hovyo na ya hasara yanafanyika kila mwaka kwenye taifa Hili sababu ya hawa watu kulewa madaraka.
Kama kweli tuna dhamira ya utanzania na kujali maslahi ya kizazi kijacho, ni bora watanzania tuungane tufanye sub dakika hii ya themanini CCM apumzike kidogo.
Ama hakika tusipoamua sasa na kupata watu wa kuotesha misingi imara juu ya maslahi yetu ya kitaifa kama utajiri wa asili tulionao.
Hakika huko tunapoenda faida zitazidi kuwa ndogo kuliko madhara.
Ukiangalia mambo yanayotokea duniani kwa sasa ni dhahir kama taifa halitajipanga kwa miaka kumi ijayo hakika wengi watasaga meno.
Tufanye maamuzi sahihi, miaka hamsini hawa watu wametutawala lakini cost zimekuwa kubwa kuliko benefits. Hivi vilio vya kila siku sio bahati mbaya uongozi wa taifa hili haukuwahi kuwa na manufaa yoyote kwa wananchi wa kawaida.
Hata nimefanya simple research ya uchumi wetu tangu enzi za mwalimu hakika hakuna kitu.
Kuna watu wamepigwa upofu lakini watambue pale madhara yanapotokea ni wote tunahathirika.
Hakika hii chance tukipoteza hawa hawa viongozi watu ipo watatuambia si ni wasengerema
Kimsingi kabisa sio kwamba naipinga kwamba haijafanya chochote CCM.
Ila Kuna mambo ya hovyo na ya hasara yanafanyika kila mwaka kwenye taifa Hili sababu ya hawa watu kulewa madaraka.
Kama kweli tuna dhamira ya utanzania na kujali maslahi ya kizazi kijacho, ni bora watanzania tuungane tufanye sub dakika hii ya themanini CCM apumzike kidogo.
Ama hakika tusipoamua sasa na kupata watu wa kuotesha misingi imara juu ya maslahi yetu ya kitaifa kama utajiri wa asili tulionao.
Hakika huko tunapoenda faida zitazidi kuwa ndogo kuliko madhara.
Ukiangalia mambo yanayotokea duniani kwa sasa ni dhahir kama taifa halitajipanga kwa miaka kumi ijayo hakika wengi watasaga meno.
Tufanye maamuzi sahihi, miaka hamsini hawa watu wametutawala lakini cost zimekuwa kubwa kuliko benefits. Hivi vilio vya kila siku sio bahati mbaya uongozi wa taifa hili haukuwahi kuwa na manufaa yoyote kwa wananchi wa kawaida.
Hata nimefanya simple research ya uchumi wetu tangu enzi za mwalimu hakika hakuna kitu.
Kuna watu wamepigwa upofu lakini watambue pale madhara yanapotokea ni wote tunahathirika.
Hakika hii chance tukipoteza hawa hawa viongozi watu ipo watatuambia si ni wasengerema