Kwanini naamini CCM inaanguka rasmi?

Kwanini naamini CCM inaanguka rasmi?

Jajji feki yupoje na orijino yupoje? kumbe nawewe Una poor reasoning kiasi hiki?

Kumbe wewe una poor language skills kiasi hiki?. Kumbe kinyume cha fake ni original katika muktadha uliozungumzia?!
 
Kama una GPA na unatumikia buku saba humu una tofauti gani na ambye hajapata elimu ya msingi kimaarifa?

Umezoea maisha ya utumwa ndo maana kila mtu anaetetea kitu unaona katumwa...

CCM imenitendea mema ambayo sina budi kuilinda kwa uwezo wangu wote
 
tatizo la watu wasio ijua tanzania siku zote wanakuwa na ndoto hasi.mtu anakurupuka tu kuandika ccm inakufa bila kuwa na view ya nchi nzima mjini na vijijini na kuona jinsi gani wananchi wako tayari na mawazo yako.watu wengine hallucination nikawaida yenu
 
Pikipiki zipo kwa ajili ya Chama Je milioni 600 za Lumumba huku wewe ukiambulia Buku 7 kwa siku mchanganuo wake ukoje?

Kwahiyo unakubali wakuu wa chama kununua pikipiki used,huku bei zikiwa hazijulikani? ndiyo maana tunaomba maelezo ya kina mkuu,hii kitu inatia sana shaka.
 
Kwahiyo unakubali wakuu wa chama kununua pikipiki used,huku bei zikiwa hazijulikani? ndiyo maana tunaomba maelezo ya kina mkuu,hii kitu inatia sana shaka.

Hao uelewa wao juu ya maisha ni duni Sana hivyo usiwashangae
 
Kwahiyo unakubali wakuu wa chama kununua pikipiki used,huku bei zikiwa hazijulikani? ndiyo maana tunaomba maelezo ya kina mkuu,hii kitu inatia sana shaka.
Used ndio kigezo chako ila nafahamu Jinzi mnavyougumia maumivu ila kama ni Mtanzania Nenda makao makuu kila kitu kipo wazi,
 
mambo yote hapa duniani yapo kwa kusudi la MUNGU,hakuna utawala wowote ambao umejisimamisha wenyewe,na mwanadamu maisha yake yote yanaratibiwa na MUNGU. kwanini tusimuachie yeye yote? hao wanahitajika kutoka madarakini na wakati huo wengine wanataka kuingia madarakani,kwa nini wasisubirie wakati wao.kila jambo linawakati wake chini ya jua.wacha wakati ufike ingawa tunapitia magumu chini ya ccm lakin tumuachie MUNGU alie muamuzi wa yote.tufanye uwepo wa ccm ni kama wakati wa kulima, na wakati wa mavuno ukifikaa basi tutafuraia. tumtafute MUNGU ndugu nae MUNGU atatuonekania na kisha atatupa utawala bora. tusiutafute ubora wakati sisi sio bora.

MUNGU gani unaemzungumzia hapa?? maana kuna Mungu Yesu na Mungu Allah na wengine .....
 
mambo yote hapa duniani yapo kwa kusudi la MUNGU,hakuna utawala wowote ambao umejisimamisha wenyewe,na mwanadamu maisha yake yote yanaratibiwa na MUNGU. kwanini tusimuachie yeye yote? hao wanahitajika kutoka madarakini na wakati huo wengine wanataka kuingia madarakani,kwa nini wasisubirie wakati wao.kila jambo linawakati wake chini ya jua.wacha wakati ufike ingawa tunapitia magumu chini ya ccm lakin tumuachie MUNGU alie muamuzi wa yote.tufanye uwepo wa ccm ni kama wakati wa kulima, na wakati wa mavuno ukifikaa basi tutafuraia. tumtafute MUNGU ndugu nae MUNGU atatuonekania na kisha atatupa utawala bora. tusiutafute ubora wakati sisi sio bora.

We unaongea kinyume hatuwezi kuwaachia kwani wakati wao wa Mungu umekwisha sasa ni wakati wao kwa shetani kwa hila, njama, wizi wa kura, hiana, kung'oa watu kucha, mabomu ya machozi kuua n.k. hivyo ni lazima waondoke.
 
Nakuunga mkono mkuu Yericko Nyerere

Baada ya mbinu zote kufeli sasa hivi wanamtumia Kibaraka wao Francis Mutungi ambaye ni Jaji Feki ili aitumie ofisi ya Msajili kuivuruga Chadema na Ukawa.

Taarifa nilizonazo mpaka muda huu ni kwamba heshima ya MUTUNGI imeporomoka kwa kasi ya kutisha ! nimeamini kwamba BINADAMU UNAWEZA KUDHALILIKA KWA DAKIKA CHACHE SANA !
 
Last edited by a moderator:
Taarifa nilizonazo mpaka muda huu ni kwamba heshima ya MUTUNGI imeporomoka kwa kasi ya kutisha ! nimeamini kwamba BINADAMU UNAWEZA KUDHALILIKA KWA DAKIKA CHACHE SANA !

Yaani adhalilike kwaajili ya wahuni Kama nyie?
 
Back
Top Bottom