korojani
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 231
- 237
Assalaam walleikhum wanajamvi.
Nimejaribu kupitia historia za madiktekta wengi na wababe wa kivita duniani kote lakini sijaona mwisho mzuri kwa upande wao.
Nimepitia historia za wababe kama Adolf Hitler, Iddi Amin, Joseph Savimbi, Joseph Kone, Saddam Hussein, Sankara, Samuel Doo, Osama bin Laden, Mobutu Sseseseko, Laurent Gbagbo na wengineo, lakini sijaona mwisho wao ukiwa mzuri.
Wengi wao walimalizia maisha yao uhamishoni na wengine jela na wengine walipotea duniani "in a funny way".
Huwa najiuliza kama mtu akiamua kuwa mbabe wa vita au diktekta basi ajiandae kwa mwisho mbaya.
Au Mungu ndio anaanza kuwahukumu hapa hapa duniani?
Naomba kuwasilisha.
Nimejaribu kupitia historia za madiktekta wengi na wababe wa kivita duniani kote lakini sijaona mwisho mzuri kwa upande wao.
Nimepitia historia za wababe kama Adolf Hitler, Iddi Amin, Joseph Savimbi, Joseph Kone, Saddam Hussein, Sankara, Samuel Doo, Osama bin Laden, Mobutu Sseseseko, Laurent Gbagbo na wengineo, lakini sijaona mwisho wao ukiwa mzuri.
Wengi wao walimalizia maisha yao uhamishoni na wengine jela na wengine walipotea duniani "in a funny way".
Huwa najiuliza kama mtu akiamua kuwa mbabe wa vita au diktekta basi ajiandae kwa mwisho mbaya.
Au Mungu ndio anaanza kuwahukumu hapa hapa duniani?
Naomba kuwasilisha.