Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,374
- 5,015
Hamjui, ndiyo maana kamweka katika kundi la madikteta.Sankara unamjua au umeadithiwa? Tafuta historia yake ndo utajua alikua kiongozi wa aina gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamjui, ndiyo maana kamweka katika kundi la madikteta.Sankara unamjua au umeadithiwa? Tafuta historia yake ndo utajua alikua kiongozi wa aina gani
Sankara alikuwa Dikteta?
Savimbi alikuwa dikiteta wa nchi gani? Savimbi hakuwahi kutawala nchi yoyote Afrika licha ya kuwa kiongozi wa chama cha upinzani kama alivyo Maalim Seif Zanzibar.
Osama bin Laden alitawala Mafia!? Acha kutuletea nyimbo za halaiki za CCM, na hapo wengineo mbona hauwataji! Karumekenge!
Savimbi hakuwa mbabe wa vita, alikuwa ni mpinzani mwenye mtazamo tofauti.
Mtu anasoma kichwa cha habari anatoka na matusi. Angesoma para ya mwisho asingekuwa na maneno ya ovyo kiasi hicho.Soma uzi vizuri ulewe kabla ya kukurupuka kuhoji ujinga, nimesema madikteta na wababe wa vita.
He!Savimbi hakuwa mbabe wa vita, alikuwa ni mpinzani mwenye mtazamo tofauti.
Hilo swali ndio ulitakiwa uulize kabla ya huu UziNipe maana ya vita, alafu endelee kubisha.
Assalaam walleikhum wanajamvi.
Nimejaribu kupitia historia za madiktekta wengi na wababe wa kivita duniani kote lakini sijaona mwisho mzuri kwa upande wao.
Nimepitia historia za wababe kama Adolf Hitler, Iddi Amin, Joseph Savimbi, Joseph Kone, Saddam Hussein, Sankara, Samuel Doo, Osama bin Laden, Mobutu Sseseseko, Laurent Gbagbo na wengineo, lakini sijaona mwisho wao ukiwa mzuri.
Wengi wao walimalizia maisha yao uhamishoni na wengine jela na wengine walipotea duniani "in a funny way".
Huwa najiuliza kama mtu akiamua kuwa mbabe wa vita au diktekta basi ajiandae kwa mwisho mbaya.
Au Mungu ndio anaanza kuwahukumu hapa hapa duniani?
Naomba kuwasilisha.