mkulungu mkuyengo
JF-Expert Member
- Feb 5, 2015
- 786
- 564
si kweli,unataka kusema hawajielewi hawana akili? ukweli ni kwamba wao wana akili kama sisi na pengine kutuzidi ndo maana unaona wapo wanawake maprofesa,marais,huwajui vizuri wanawake acha kutetea usichokijua.wenzetu huwa na wasiwasi sana ktk wakati mgumu,mwanamke hupaniki haraka sana,(hasa akiwaza kuhusu mustakabali wa familia)kumbuka wanawake wengi wana amini kuwa wewe mwanaume ndo kila kitu katika familia hata kama yeye anafanya kazi anajiona yeye hana ubavu wa kuiendesha familia,hupelekea kuwaza vitu vingi sana,anakuja kuharibu zaidi anapokwenda kutafuta ushauri kwa marafiki zake..!!ni jukumu lako mwanaume kumuelewa na kufanya jambo litakalompa tena matumaini!!