Hili nalo linahitaji makubaliano?Anayeenda kuomba uchumba ni mwanaume so kupiga goti ni kama ishara ya kuomba
Hata hivyo inategemea makubaliano yenu ni nani apige,unaweza kupiga ama akapiga yeye ama mkasimama wote
Nafikiri ni utashi tu.
Liko wazi hili,,