Chief Editor
JF-Expert Member
- Feb 18, 2019
- 780
- 2,261
Nimeshuhudia wanaume wengi wakipiga goti huku wakiwavalisha Pete za uchumba (engagement ring) sina shaka wala siupingi utaratibu huo ila kuna maswali huwa yananijia ambayo huwa nakosa majibu madhubuti
Mosi..je kupiga goti ni kanuni/sheria au ni utaritibu wa kimazoea?
Pili....je kupiga goti kwa manaume huashiria nini kwa mwanamke wake?
Tatu...je wanaume hufurahia kupiga goti katika tukio hilo au ni mazoea tu ya kijamii yanalazimu?
Nne.. Je wanawake huwa wanawaza nini kuona mumewe mtarajiwa akimvisha pete huku akiwa kapiga goti?
Sidhani kama utaratibu huu upo pia kwa ndugu zetu waislamu ila kwa wakristo ni well experienced and not well known .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mosi..je kupiga goti ni kanuni/sheria au ni utaritibu wa kimazoea?
Pili....je kupiga goti kwa manaume huashiria nini kwa mwanamke wake?
Tatu...je wanaume hufurahia kupiga goti katika tukio hilo au ni mazoea tu ya kijamii yanalazimu?
Nne.. Je wanawake huwa wanawaza nini kuona mumewe mtarajiwa akimvisha pete huku akiwa kapiga goti?
Sidhani kama utaratibu huu upo pia kwa ndugu zetu waislamu ila kwa wakristo ni well experienced and not well known .
Sent using Jamii Forums mobile app