Mwazani
Member
- May 27, 2010
- 75
- 11
Wapendwa, kuna msemo mmoja maarufu sana unasema hivi,
"...Mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe..."
Hivi kwanini ni mwanake na sio mwanaume? kwani haiwezekani mwanaume mpumbavu akavunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe?
Ni mwendelezo wa kutomwamini na kumdharau mwanamke au?
"...Mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe..."
Hivi kwanini ni mwanake na sio mwanaume? kwani haiwezekani mwanaume mpumbavu akavunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe?
Ni mwendelezo wa kutomwamini na kumdharau mwanamke au?