Kubaka kaka mtambuzi, ni Tabia ya mtu tu na si kwa kuvaa nusu uchi , maana hata wanaobaka watoto wanakuwa wamevaa nusu uchi? la hasha.
Ila kwa wanawake kutojistiri kuna kudhalilisha wewe mwenyewe na familia yako kwa ujumla, tena wengine huwa wanajiuliza huyu kwao ana wazazi, maana unakutana na vituko, sema ndiyo hivyo nchi yetu imruhusu watu kwenda uchi.Kuna dada mmoja wakati huo Posta na Simu, alikuwa pale Postal house,sijui kwa sasa yuko wapi , alikuwa receptionist, alikuwa anavaa nusu Uchi pale kazini, ukifika kumuulizia mazazi wako anakudengulia ile mbaya na alikuwa anajiona Bab kubwa, sasa akaja akaolewa, lakini historia bado ipo kiasi akiisikia yeye mwenyewe watu wanavyomsema vibaya anakasirika sana. Kwa hiyo hao wanaovaa hivyo wanasahau kuna kesho na wao watakuwa na familia zao na watoto wao na watataka kubehave vizuri mbele za watu, ndipo hapo kazi inaanza.