Chris Kamlenga
Member
- Oct 17, 2017
- 26
- 32
Habari wana Jf,Nini ni husababisha mwanamke kukaukiwa na majimaji ukeni wakati wa tendo la ndoa na baadae kuanza kupata mchubuko,na nini kifanyike ili kutibu tatizo hilo,Mwanzo nilidhani kumuandaa ila hata yakiwa mengi hayakawii kukauka kabisa,msaada kwa mwenye kufahamu suluhisho