big dreamer
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 398
- 1,059
Wakuu poleni na tozo,poleni na majukumu mbalimbali,
HAPA TUZUNGUMZIE MABINTI AMBAO HAWAJABAKWA KWA KUTUMIA NGUVU (yaani ametongozwa nae akakubali) na wapo katika umri wa kuelewa sheria hasa umri wa 13 na kuendelea hasahasa hawa mabinti wa sekondari.
Katika kesi ya mwanaume kumpa mimba mwanafunzi wa shule, mwanaume anahukumiwa miaka 30 jela
Na hii ni kesi ya ubakaji hata kama milifanya kwa makubaliano au lah, mtuhumiwa atashtakiwa kwa ubakaji (ingawa baadhi ya wanaharakati,wanataka hii hukumu iangaliwe upya) lakini mimi nasema sawa ili watu wawaogope hawa wanafunzi kama ukoma
Ila kuna baadhi ya scenario unakuta huyu binti anaanamshawishi kijana/kumtaka kimapenzi alafu kijana,na sisi wanaume wa kiafrika hatuna utaratibu wa kwenda kuripot sehem et binti flani ananitaka ila mimi simtaki (kwanza utaonekana mdhaifu) sasa huyu kijana akijichanganya tu ameshawishika na huyo binti basi inakuwa imekula kwake mazima
Au unakutana na binti ambae ni kicheche ya vigodoro kila jumamosi, clubs kila jumapili sometimes wapo wanaojiuza kabisa ili wapate kwa tamaa ya kununua simu flani za gharama au nguo za gharama,,ila huyu binti akipata minba basi hilo ni jumba bovu litakalo muangukia aliempa minba na kwenda jela kabisa miaka 30
Sasa leo hatuzungumzii hukumu ya mwanaume lakini tumuangalie mabinti kama hawa kwanini wasiadhibiwe kabla ya kwenda tena kurudi shule basi apewe adhabu fulani hata jela mwezi mmoja au miwili au kwa viboko 100 kituoni cha polisi yani iwe kabla/baada ya kujifungua (kama ambavyo wataalamu wataona inafaa) yani kila siku anakula stiki 10 kwa siku 10 ILI IWE FUNDISHO KWA MABINTI WENGNE WALIOPO SHULENI WAOGOPE na Hata wakitongozwa basi watatoa taarifa sehemu fulani
Au hata adhabu kama vile kufanya usafi kwenye taasisi za kijamii kama hospital hata kwa miezi 3/6
Au adhabu nyingine yoyote ambayo hata yeye akitongozwa na mtu anaogopa KWAMBA LICHA YA UJAUZITO ILA ATAOGOPA KUWA ATAPEWA NA ADHABU FULANI PIA BAADA YA KUPATA UJAUZITO
Na mabinti wengne wanaenda night clubs sasa mtu kakutana nae huko atajuaje kwamba huyu ni mwanafunzi ,,,, kwahyo binti nae AKITANGAZIWA ADHABU FULANI BASI ATAOGOPA kufanya vitu kama hivyo na itasaidia kupunguza mimba za mashuleni
Na hii itasaidia kwasababu kwasasa yeye binti aogopi chochote kile/ haofii chochote kile kwasababu HATA KAMA YEYE AMEKUTONGOZA WEWE COZ ANATAKA HELA ZAKO YEYE AHOFIHI CHOCHOTE COZ MSALA WOTE UNAKUANGUKIA WEWE YEYE HATA AKIPATA MIMBA ATAZAA THEN ATAENDELEA NA MASOMO KAMA KAWAIDA ILA WEWE UPO JELA
KWAHIYO HUYU BINTI NAE AKITANGAZIWA ADHABU FULANI BASI ATAOGOPA KUKUBALI AKITONGOZWA AU KUJIINGIZA KWA NAMNA FULANI KWENYE MASUALA YA MAPENZI PINDI AKIWA MWANAFUNZI...
NAWASILISHA WADAU
HAPA TUZUNGUMZIE MABINTI AMBAO HAWAJABAKWA KWA KUTUMIA NGUVU (yaani ametongozwa nae akakubali) na wapo katika umri wa kuelewa sheria hasa umri wa 13 na kuendelea hasahasa hawa mabinti wa sekondari.
Katika kesi ya mwanaume kumpa mimba mwanafunzi wa shule, mwanaume anahukumiwa miaka 30 jela
Na hii ni kesi ya ubakaji hata kama milifanya kwa makubaliano au lah, mtuhumiwa atashtakiwa kwa ubakaji (ingawa baadhi ya wanaharakati,wanataka hii hukumu iangaliwe upya) lakini mimi nasema sawa ili watu wawaogope hawa wanafunzi kama ukoma
Ila kuna baadhi ya scenario unakuta huyu binti anaanamshawishi kijana/kumtaka kimapenzi alafu kijana,na sisi wanaume wa kiafrika hatuna utaratibu wa kwenda kuripot sehem et binti flani ananitaka ila mimi simtaki (kwanza utaonekana mdhaifu) sasa huyu kijana akijichanganya tu ameshawishika na huyo binti basi inakuwa imekula kwake mazima
Au unakutana na binti ambae ni kicheche ya vigodoro kila jumamosi, clubs kila jumapili sometimes wapo wanaojiuza kabisa ili wapate kwa tamaa ya kununua simu flani za gharama au nguo za gharama,,ila huyu binti akipata minba basi hilo ni jumba bovu litakalo muangukia aliempa minba na kwenda jela kabisa miaka 30
Sasa leo hatuzungumzii hukumu ya mwanaume lakini tumuangalie mabinti kama hawa kwanini wasiadhibiwe kabla ya kwenda tena kurudi shule basi apewe adhabu fulani hata jela mwezi mmoja au miwili au kwa viboko 100 kituoni cha polisi yani iwe kabla/baada ya kujifungua (kama ambavyo wataalamu wataona inafaa) yani kila siku anakula stiki 10 kwa siku 10 ILI IWE FUNDISHO KWA MABINTI WENGNE WALIOPO SHULENI WAOGOPE na Hata wakitongozwa basi watatoa taarifa sehemu fulani
Au hata adhabu kama vile kufanya usafi kwenye taasisi za kijamii kama hospital hata kwa miezi 3/6
Au adhabu nyingine yoyote ambayo hata yeye akitongozwa na mtu anaogopa KWAMBA LICHA YA UJAUZITO ILA ATAOGOPA KUWA ATAPEWA NA ADHABU FULANI PIA BAADA YA KUPATA UJAUZITO
Na mabinti wengne wanaenda night clubs sasa mtu kakutana nae huko atajuaje kwamba huyu ni mwanafunzi ,,,, kwahyo binti nae AKITANGAZIWA ADHABU FULANI BASI ATAOGOPA kufanya vitu kama hivyo na itasaidia kupunguza mimba za mashuleni
Na hii itasaidia kwasababu kwasasa yeye binti aogopi chochote kile/ haofii chochote kile kwasababu HATA KAMA YEYE AMEKUTONGOZA WEWE COZ ANATAKA HELA ZAKO YEYE AHOFIHI CHOCHOTE COZ MSALA WOTE UNAKUANGUKIA WEWE YEYE HATA AKIPATA MIMBA ATAZAA THEN ATAENDELEA NA MASOMO KAMA KAWAIDA ILA WEWE UPO JELA
KWAHIYO HUYU BINTI NAE AKITANGAZIWA ADHABU FULANI BASI ATAOGOPA KUKUBALI AKITONGOZWA AU KUJIINGIZA KWA NAMNA FULANI KWENYE MASUALA YA MAPENZI PINDI AKIWA MWANAFUNZI...
NAWASILISHA WADAU