Atlast nimempata
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 282
- 455
Nimeikuta sehemu ikabidi niizoom hapa! Nimecheka aliposema kwanini Mungu kwa mapenzi yake bila sisi kumuomba akatuumba ili atutese?
Kwani tulimuomba au kumlazimisha atuumbe? ! Wee jamaa!
Look! Mungu alitoa sehemu yake ya uungu akaumba mwanadamu! "akampulizia pumzi ikawa nafsi hai" kwa ufupi sisi tulikuwapo ndani ya Mungu.
Kwa waliosoma chemistry kuna theory inasema "matter can neither be created nor destroyed but it can be transformed from one form to another!
Binadamu ni pumzi ya uhai wa Mungu (immortal) kama Mungu alivyo immortal, kinachokufa ni mwili ambao ni mavumbi na kurudia ardhi!
Ukifa unaendelea kuishi ama maisha mazuri au mabaya kadri utakavyochagua kwasababu una nafsi yenye utashi wa mazuri na mabaya! Roho haifi!
Kwani tulimuomba au kumlazimisha atuumbe? ! Wee jamaa!
Look! Mungu alitoa sehemu yake ya uungu akaumba mwanadamu! "akampulizia pumzi ikawa nafsi hai" kwa ufupi sisi tulikuwapo ndani ya Mungu.
Kwa waliosoma chemistry kuna theory inasema "matter can neither be created nor destroyed but it can be transformed from one form to another!
Binadamu ni pumzi ya uhai wa Mungu (immortal) kama Mungu alivyo immortal, kinachokufa ni mwili ambao ni mavumbi na kurudia ardhi!
Ukifa unaendelea kuishi ama maisha mazuri au mabaya kadri utakavyochagua kwasababu una nafsi yenye utashi wa mazuri na mabaya! Roho haifi!