Kwanini Mungu hakuumba dhahabu uchagani?

Kwanini Mungu hakuumba dhahabu uchagani?

Hahaha haya bhana Kilimanjaro ni Ulaya! Nyie mna chuki sana na wasukuma! Hakuna mtu anamlisha mwenzake kila mtu ashinde mechi zake!
Dah umesema ulaya; juzi tu wakina mama mbio Kenya kutafuta ujauzito. Labda banana Alcohol 12 usiseme ulaya ni chupa kwenda mbele
 
Aisee,"..afikirivyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo..."
Hivi ndivyo unavyofikiri na ndivyo ulivyo Mkuu.
 
Dah umesema ulaya; juzi tu wakina mama mbio Kenya kutafuta ujauzito. Labda banana Alcohol 12 usiseme ulaya ni chupa kwenda mbele
Unajua hawa jamaa wanapenda sana kujikweza!
Ukijiuliza kwani kwao kuna viwanda vya magari? jibu hapana!
Je nyumba wanazojenga Kilimanjaro Mwanza,Geita hawajengi? Jibu hapana wanajenga pia!
Biashara wanazofanya wao makabila mengine hayafanyi? Jibu wanafanya makabila yote!
Wamejengewa mentality ya kujiona bora ila hawana lolote kazi kujiita bilionea Mara tajiri lakini utashangaa kumbe anayesufiwa ana milion 10 kwenye account!
Hawapendi kabisa kusikia mtu wa kabila tofauti na wao ana maendeleo ndo maana mji wao umedumaa kwa kukatalia ardhi!
 
Unajua hawa jamaa wanapenda sana kujikweza!
Ukijiuliza kwani kwao kuna viwanda vya magari jibu hapana!
Je nyumba wanazojenga Kilimanjaro Mwanza,Geita hawajengi? Jibu hapana wanajenga pia!
Biashara wanazofanya wao makabila mengine hayafanyi? Jibu wanafanya makabila yote!
Wamejengewa mentality ya kujiona bora ila hawana lolote kazi kujiita Bilionea Mara tajiri lakini utashangaa kumbe anayesufiwa ana milion 10 kwenye account!
Hawapendi kabisa kusikia mtu wa kabila tofauti na wao ana maendeleo ndo maana mji wao umedumaa kwa kukatalia ardhi!
Vyema kabisa ila arthi imekwisha ndio sababu ya wao kuzagaa nchi nzima.
 
Kwani Mungu kipindi anaumba alisema hapa ni kwa wasukuma na hapa kwa Wachaga?
 
Hii ndio sababu ya wewe kuumbea mwanaume na si mwanamke je? Ulisha jitazama kwa umakini wewe ni jinsia Gani?
mimi ni mwanaume, ila nina uhakika wewe mwanamke tena unayevaa bikini.
 
Hata wasukuma Walipoanzisha makazi ukanda ule hawakujua kuna dhahabu na almasi. Lakini pia kumbuka wachagga hawavuni mali kutoka Rombo, Marangu, Kibosho na Machame. Wachagga walichuma na wanaendelea kuchuma mali kutoka pande mbali mbali za nchi na dunia kwa ujumla. Utajiri siyo rasilimali, utajiri ni akili. Wachagga walipata elimu mapema na wakajua kubadilisha kuwa pesa. Wahaya na Wanyakyusa walipata elimu mapema wakabadilisha kuwa sifa, kiburi na dini.
Wakinga hawana elimu ya kitaaluma mbali mbali kivile, hakuna dhahabu wala utalii kwao lkn wana akili ya kutafuta pesa. Kwa utajiri na mbinu zake ni mpana.
Unadhani kwanini MUNGU hakuumba dhahabu Uchagani akaumba Usukumani kwa wingi sana na kwa uchache kwingineko?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom