Kwanini Mungu hakuumba dhahabu uchagani?

Kwanini Mungu hakuumba dhahabu uchagani?

Nyie mbona mlifurushwa na sultani kutoka ujakazini?
Unaongea kijinga. Weka vitu kielimu na vyenye ushahidi, siyo unaongea kama uko kwenye baraza za wajinga wenzio.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Kwa sababu hapo walipo siyo asili yao ni wakimbizi wa zamani wa Kimisri (mafarao) walifurushwa na wayahudi hao.

Nalipata ilimu Kwa ufupi kwamba walikimbizwa kutoka Tigrey...

Kuna kitabu cha Mgiriki mmoja nikikipata ndio nitakuwa na audacity ya kuandika chochote maana nitafanya citations.
 
Nalipata ilimu Kwa ufupi kwamba walikimbizwa kutoka Tigrey...

Kuna kitabu cha Mgiriki mmoja nikikipata ndio nitakuwa na audacity ya kuandika chochote maana nitafanya citations.
Hilo linawezekana kabisa. Lakini siyo wote.
 
Hilo linawezekana kabisa. Lakini siyo wote.
Neno dschagga asili yake ni neno la huko Tigrey..

Japo ni kweli Jina wachaga ila ndani yake Kuna wachaga tofauti tofauti na hata lugha hazipatani. Mchaga wa eneo moja anaweza kutofautiana lugha na mchaga wa eneo lingine.
 
Hiz story za kujiifariji mbona wayahudi wa leo ni wazungu na kwanini walifukuzwa na wayahudi wenzao wa ethiopia!? Wayahudi wa ethiopia hawana vinasaba vyovyote na wachaga acha uongo wenye vinasaba na wayahudi wa ethiopia ni warangi wanyaturu na wale wairaq wa manyara enzi za mfalme suleiman malkia wa sheba ambae alikua anaongoza ethiopia alienda kumtembelea mfalme suleiman akalala nae na kupata mimba ndio huu uzao wa wahabeshi wa leo.labda useme wachaga zamani walikua nyani wakageuka kua binadamu lkn sio useme ni wayahudi

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
Walifukuzwa na wayahudi kwa kuwa siyo wayahudi.
 
Neno dschagga asili yake ni neno la huko Tigrey..

Japo ni kweli Jina wachaga ila ndani yake Kuna wachaga tofauti tofauti na hata lugha hazipatani. Mchaga wa eneo moja anaweza kutofautiana lugha na mchaga wa eneo lingine.
Hiyo inaingia akilini.
 
Hiz story za kujiifariji mbona wayahudi wa leo ni wazungu na kwanini walifukuzwa na wayahudi wenzao wa ethiopia!? Wayahudi wa ethiopia hawana vinasaba vyovyote na wachaga acha uongo wenye vinasaba na wayahudi wa ethiopia ni warangi wanyaturu na wale wairaq wa manyara enzi za mfalme suleiman malkia wa sheba ambae alikua anaongoza ethiopia alienda kumtembelea mfalme suleiman akalala nae na kupata mimba ndio huu uzao wa wahabeshi wa leo.labda useme wachaga zamani walikua nyani wakageuka kua binadamu lkn sio useme ni wayahudi

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
Umeeongeaa weee afu umekuja kujivurunda hapo kwenye nyani! Kwahiyo hao wayahudi wao hawakuwa nyani ila wachaga kuwa walikuwa nyani sio shida
 
alijua watachinjana wale, manake akiona pesa undugu badaye. akaenda kupeleka dhahabu kwa mabumunda yasiyo na akili kabisa huko yanavaa shanga mwili mzima hata wanaume (watani zangu, kidding).
Hii ndio sababu ya wewe kuumbea mwanaume na si mwanamke je? Ulisha jitazama kwa umakini wewe ni jinsia Gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom