Hiz story za kujiifariji mbona wayahudi wa leo ni wazungu na kwanini walifukuzwa na wayahudi wenzao wa ethiopia!? Wayahudi wa ethiopia hawana vinasaba vyovyote na wachaga acha uongo wenye vinasaba na wayahudi wa ethiopia ni warangi wanyaturu na wale wairaq wa manyara enzi za mfalme suleiman malkia wa sheba ambae alikua anaongoza ethiopia alienda kumtembelea mfalme suleiman akalala nae na kupata mimba ndio huu uzao wa wahabeshi wa leo.labda useme wachaga zamani walikua nyani wakageuka kua binadamu lkn sio useme ni wayahudi
Sent from my PRA-LA1 using
JamiiForums mobile app