Kwanini Mungu hakuumba dhahabu uchagani?

Kwanini Mungu hakuumba dhahabu uchagani?

alijua watachinjana wale, manake akiona pesa undugu badaye. akaenda kupeleka dhahabu kwa mabumunda yasiyo na akili kabisa huko yanavaa shanga mwili mzima hata wanaume (watani zangu, kidding).
Wachaga wangetawala dunia hii. Benki Kuu ingekuwa mali yao.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Kwanini usijiulize kwanini hakuumba mlima kilimanjaro usukumani

Dhahabu na Tanzanite ipi Ina thamani zaidi? Usukumani Kuna Tanzanites?
 
Kwanini usijiulize kwanini hakuumba mlima kilimanjaro usukumani

Dhahabu na Tanzanite ipi Ina thamani zaidi? Usukumani Kuna Tanzanites?
Mirerani ni Uchagani au Umasaini?

Fedha zote duniani zinathamanishwa kwenye dhahabu, tanzanite ina kazi ya ulimbwende tu.

Ungeuliza hivi, kama dhahabu iliumbwa Usukumani na tanzanite Umasaini je, kuna nini kwa jamii za wafugaji?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Tangu lini mtu mweusi akawa muyahudi?

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
hao siyo wayahudi, hao wajukuu wa Ham. Walikimbizwa na wayahudi wa aethiopia, wakakimbilia kujificha chini ya mlima hiuko, wakitokewaa huku wanazunguka huku, ndiyo maana wakauzunguka huo.

Nani alikwambia wayahudi ni weupe?
 
Back
Top Bottom