T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,517
Alichofanya Mungu ni sawa na kumchukua nyoka na kumuweka nyumba moja na wanao
Alichofanya Mungu ni sawa na kumchukua nyoka na kumuweka nyumba moja na wanao
Yani mkuu inashangaza sana kuona mtu mzima anawezaje kuamini stori kama hizi...Kwa nn nia ya kujiona shetani kuwa yeye ni bora kuliko binadam ilikuwemo ndani yake ilihali mungu alikuwa na uwezo wa kuiondoa kabla ya ubishi kutokea?
Lakini mwanadamu si kaumbwa katika umbile bora kuliko viumbe wengine au?Huo si ubaguzi sababu hakuna kuingiliana katika maumbile hayo,kama vile walivyoumbwa kuku na viumbe wengine,waumbwa na kuwekewewa mfuno wa maisha kivyake.
Ule ni ujinga wake mwenyewe kujiona bora kuliko Adamu,mbona malaika wameumbwa kwa nuru lakini hawajajiona bora kuliko wengine ?
Kwahiyo utakuta ni kiburi,ujinga na matamanio ya nafsi ya Shetani.
Wewe huoni leo hii sisi kwa sisi binadamu tunajiona bora wengine kuliko wengine na tabia mbaya nyingine ?
Bila shaka kabisa.Lakini mwanadamu si kaumbwa katika umbile bora kuliko viumbe wengine au?
Yani mkuu inashangaza sana kuona mtu mzima anawezaje kuamini stori kama hizi...
Tumezaliwa tukaukuta ugomvi kati ya Mungu na shetani. Ila kwa asilimia 98 Mungu ndio anaonekana kushinda dhidi ya miungu wengine pamoja na shetani. Mungu alianza na Adam akaja kwa Ibrahim akashukia kwa Isaka akaenda kwa Yakobo (Israel). Katika Israel zikaja zile kabila 12 na ndani yake akaja Sauli, Daudi kisha Suleiman na wengine. Kote huko Mungu anapata upinzani toka kwa watu anaowapenda na aliowachangua. Sio kwamba hana uwezo wa kuwamaliza, but what for?Habari ya jumapili.
Dini inasema shetani aliasi huko juu mbunguni mahala palipotukuka na palipoinuka juu anapoishi mungu. Baada ya shetani kuasi mungu akamtimua na kumshusha huku Duniani.
Dini inasema baadae mungu akamuumba mwanadamu na kumuweka Duniani, maana yake mwanadamu alipowekwa duniani tayari shetani alikua duniani muda mrefu tu anakula zake maisha.
Hadithi ya shetani kuasi iko one sided, yaani inaelezwa kutoka upande wa mungu, hakuna aliewahi kusikia upande wa shetani(tayari binadam wanamshutumu shetani kwa habari ya kuambiwa, one sided story, hivyo shetani anahukumiwa kua ni mbaya bila kusikilizwa).
Dini haisemi kwa nini shetani aliasi na ilikuaje akaasi. Dini inasema mungu anajua kila kitu, all knowing lakini haisemi mungu alishindwaje kujua kua shetani atakuja kuasi ili asimuumbe. Na kama alijua shetani atakuja kuasi kwa nini alimuacha aasi. Mbaya zaidi huo mgogoro wao umetuingiza na sisi binadam ambao hatujui chanzo cha mgogoro. Yaani mungu anarecruit binadam washirikiane nae mwenye mgogoro wake na shetani huku binadam hawajui chanzo cha mgogoro wao. Na mungu anatishia kua yoyote ambae hatashirikiana nae kwenye mgogoro huo atampanish vikali. Unajiuliza hakuaje involved kwenye mgogoro nisioujua chanzo chake na natishiwa adhabu kali kama sitashiriki huo mgogoro ambao in fact haupo kwa sababu mungu hajaonyesha kuwepo, hivyo watu waoga na wajinga wanalazimika kushiriki mgogoro blindly ili kuogopa adhabu.
Kama mungu anawapenda wanadamu kama dini inavyosema alipaswa kurekebisha kasoro zilizojitokeza kabla ya kumuumba mwanadam, lakini pia alipaswa kujua in the first hand kua shetani atakuja kuasi kabla hajamuumba, vinginevyo hajui kila kitu kinyume na inavyosemekana kua anajua kila kitu.
Tukubali tukatae, maovu yote duniani kama mauaji, wivu, kifo, husda, wizi, matetemeko ya ardhi, tsunami, vimbunga, ukame, magonjwa yote chanzo chake ni mungu. Mungu ameshindwa kabisa kutuonyesha kua kweli anatupenda kama anavyosemwa, ameshindwa kuonyesha kweli kua anajali Mbaya zaidi ameyatengeneza alafu ameshindwa kuyaondoa.
Hii mada inaendelea.
Ntongeza ya mjumbe.
mkuu Hakimu Mfawidhi nadhani wewe ni hakimu kama jina lako linavyooneshaHabari ya jumapili.
Dini inasema shetani aliasi huko juu mbunguni mahala palipotukuka na palipoinuka juu anapoishi mungu. Baada ya shetani kuasi mungu akamtimua na kumshusha huku Duniani.
Dini inasema baadae mungu akamuumba mwanadamu na kumuweka Duniani, maana yake mwanadamu alipowekwa duniani tayari shetani alikua duniani muda mrefu tu anakula zake maisha.
Hadithi ya shetani kuasi iko one sided, yaani inaelezwa kutoka upande wa mungu, hakuna aliewahi kusikia upande wa shetani(tayari binadam wanamshutumu shetani kwa habari ya kuambiwa, one sided story, hivyo shetani anahukumiwa kua ni mbaya bila kusikilizwa).
Dini haisemi kwa nini shetani aliasi na ilikuaje akaasi. Dini inasema mungu anajua kila kitu, all knowing lakini haisemi mungu alishindwaje kujua kua shetani atakuja kuasi ili asimuumbe. Na kama alijua shetani atakuja kuasi kwa nini alimuacha aasi. Mbaya zaidi huo mgogoro wao umetuingiza na sisi binadam ambao hatujui chanzo cha mgogoro. Yaani mungu anarecruit binadam washirikiane nae mwenye mgogoro wake na shetani huku binadam hawajui chanzo cha mgogoro wao. Na mungu anatishia kua yoyote ambae hatashirikiana nae kwenye mgogoro huo atampanish vikali. Unajiuliza hakuaje involved kwenye mgogoro nisioujua chanzo chake na natishiwa adhabu kali kama sitashiriki huo mgogoro ambao in fact haupo kwa sababu mungu hajaonyesha kuwepo, hivyo watu waoga na wajinga wanalazimika kushiriki mgogoro blindly ili kuogopa adhabu.
Kama mungu anawapenda wanadamu kama dini inavyosema alipaswa kurekebisha kasoro zilizojitokeza kabla ya kumuumba mwanadam, lakini pia alipaswa kujua in the first hand kua shetani atakuja kuasi kabla hajamuumba, vinginevyo hajui kila kitu kinyume na inavyosemekana kua anajua kila kitu.
Tukubali tukatae, maovu yote duniani kama mauaji, wivu, kifo, husda, wizi, matetemeko ya ardhi, tsunami, vimbunga, ukame, magonjwa yote chanzo chake ni mungu. Mungu ameshindwa kabisa kutuonyesha kua kweli anatupenda kama anavyosemwa, ameshindwa kuonyesha kweli kua anajali Mbaya zaidi ameyatengeneza alafu ameshindwa kuyaondoa.
Hii mada inaendelea.
Ntongeza ya mjumbe.
Nimeuliza maswali ya contradictions kumhusu huyu Mungu kwa miaka kadhaa hapa.Angalia : 1 : Mungu ni Mkuu na ni mweza wa yote, 2 : Mungu ni mwema mwenye huruma : semi hizi mbili zinakinzana, " Kama ni Mkuu sio mwema, na kama ni mwema sio Mkuu. A lot of contradictions, even in the Bible
Mkuu, awezaye kuwa mkuu aweza pia kuwa mwema,na mara nyingi, wenye ukuu na uwezo huwa na wema zaidi kuliko dhaifu,japo si wote.Nachukulia kwa mfano wa binadamu tu,walio kinyume na ukuu (samahani,nakosa kiswahili kizuri hapa) mara nyingi zaidi ndio wachache sana wa tabia za wema.Mfano,hawa ndio hata wagumu kusamehe.Angalia : 1 : Mungu ni Mkuu na ni mweza wa yote, 2 : Mungu ni mwema mwenye huruma : semi hizi mbili zinakinzana, " Kama ni Mkuu sio mwema, na kama ni mwema sio Mkuu. A lot of contradictions, even in the Bible
Lakini mwanadamu si kaumbwa katika umbile bora kuliko viumbe wengine au?
Habari ya jumapili.
Dini inasema shetani aliasi huko juu mbunguni mahala palipotukuka na palipoinuka juu anapoishi mungu. Baada ya shetani kuasi mungu akamtimua na kumshusha huku Duniani.
Dini inasema baadae mungu akamuumba mwanadamu na kumuweka Duniani, maana yake mwanadamu alipowekwa duniani tayari shetani alikua duniani muda mrefu tu anakula zake maisha.
Hadithi ya shetani kuasi iko one sided, yaani inaelezwa kutoka upande wa mungu, hakuna aliewahi kusikia upande wa shetani(tayari binadam wanamshutumu shetani kwa habari ya kuambiwa, one sided story, hivyo shetani anahukumiwa kua ni mbaya bila kusikilizwa).
Dini haisemi kwa nini shetani aliasi na ilikuaje akaasi. Dini inasema mungu anajua kila kitu, all knowing lakini haisemi mungu alishindwaje kujua kua shetani atakuja kuasi ili asimuumbe. Na kama alijua shetani atakuja kuasi kwa nini alimuacha aasi. Mbaya zaidi huo mgogoro wao umetuingiza na sisi binadam ambao hatujui chanzo cha mgogoro. Yaani mungu anarecruit binadam washirikiane nae mwenye mgogoro wake na shetani huku binadam hawajui chanzo cha mgogoro wao. Na mungu anatishia kua yoyote ambae hatashirikiana nae kwenye mgogoro huo atampanish vikali. Unajiuliza hakuaje involved kwenye mgogoro nisioujua chanzo chake na natishiwa adhabu kali kama sitashiriki huo mgogoro ambao in fact haupo kwa sababu mungu hajaonyesha kuwepo, hivyo watu waoga na wajinga wanalazimika kushiriki mgogoro blindly ili kuogopa adhabu.
Kama mungu anawapenda wanadamu kama dini inavyosema alipaswa kurekebisha kasoro zilizojitokeza kabla ya kumuumba mwanadam, lakini pia alipaswa kujua in the first hand kua shetani atakuja kuasi kabla hajamuumba, vinginevyo hajui kila kitu kinyume na inavyosemekana kua anajua kila kitu.
Tukubali tukatae, maovu yote duniani kama mauaji, wivu, kifo, husda, wizi, matetemeko ya ardhi, tsunami, vimbunga, ukame, magonjwa yote chanzo chake ni mungu. Mungu ameshindwa kabisa kutuonyesha kua kweli anatupenda kama anavyosemwa, ameshindwa kuonyesha kweli kua anajali Mbaya zaidi ameyatengeneza alafu ameshindwa kuyaondoa.
Hii mada inaendelea.
Ntongeza ya mjumbe.
kwanini Mungu hakujua kama na wewe utachangia hii mada?Je, Mungu hakujua kama mtoa mada atatoa mada ya kuonyesha Mungu alikosea mahali.?
Habari ya jumapili.
Dini inasema shetani aliasi huko juu mbunguni mahala palipotukuka na palipoinuka juu anapoishi mungu. Baada ya shetani kuasi mungu akamtimua na kumshusha huku Duniani.
Dini inasema baadae mungu akamuumba mwanadamu na kumuweka Duniani, maana yake mwanadamu alipowekwa duniani tayari shetani alikua duniani muda mrefu tu anakula zake maisha.
Hadithi ya shetani kuasi iko one sided, yaani inaelezwa kutoka upande wa mungu, hakuna aliewahi kusikia upande wa shetani(tayari binadam wanamshutumu shetani kwa habari ya kuambiwa, one sided story, hivyo shetani anahukumiwa kua ni mbaya bila kusikilizwa).
Dini haisemi kwa nini shetani aliasi na ilikuaje akaasi. Dini inasema mungu anajua kila kitu, all knowing lakini haisemi mungu alishindwaje kujua kua shetani atakuja kuasi ili asimuumbe. Na kama alijua shetani atakuja kuasi kwa nini alimuacha aasi. Mbaya zaidi huo mgogoro wao umetuingiza na sisi binadam ambao hatujui chanzo cha mgogoro. Yaani mungu anarecruit binadam washirikiane nae mwenye mgogoro wake na shetani huku binadam hawajui chanzo cha mgogoro wao. Na mungu anatishia kua yoyote ambae hatashirikiana nae kwenye mgogoro huo atampanish vikali. Unajiuliza hakuaje involved kwenye mgogoro nisioujua chanzo chake na natishiwa adhabu kali kama sitashiriki huo mgogoro ambao in fact haupo kwa sababu mungu hajaonyesha kuwepo, hivyo watu waoga na wajinga wanalazimika kushiriki mgogoro blindly ili kuogopa adhabu.
Kama mungu anawapenda wanadamu kama dini inavyosema alipaswa kurekebisha kasoro zilizojitokeza kabla ya kumuumba mwanadam, lakini pia alipaswa kujua in the first hand kua shetani atakuja kuasi kabla hajamuumba, vinginevyo hajui kila kitu kinyume na inavyosemekana kua anajua kila kitu.
Tukubali tukatae, maovu yote duniani kama mauaji, wivu, kifo, husda, wizi, matetemeko ya ardhi, tsunami, vimbunga, ukame, magonjwa yote chanzo chake ni mungu. Mungu ameshindwa kabisa kutuonyesha kua kweli anatupenda kama anavyosemwa, ameshindwa kuonyesha kweli kua anajali Mbaya zaidi ameyatengeneza alafu ameshindwa kuyaondoa.
Hii mada inaendelea.
Ntongeza ya mjumbe.
Weka huo mchango tuuone, sasa kama wewe mwenyewe huna uhakika kama nitakubaliana na nchango wako au la maana yake ni kua huna hoja ya maana.Kama wewe mwenyewe unayeleta mada unayosema ni 'one-sided' unadhani utakubaliana na mchango wowote? Kwangu mimi mjadala huu umefeli kuanzia unapoanza kujenga hoja isiyojengeka (self-defeating argument).
Kwa kiasi kikubwa unasema ukweli.Na hivi asilimia fulani ya kutosha ya hao wasimamia dini madhabahuni wapo zaidi kuganga njaa zao kupitia sadaka n.k. Hata kuelimisha vema kumhusu Mungu haipewi uzito zaidi ya utisho wa moto wa jehanamu,umuhimu mkubwa wa kutoa sadaka na mambo kama hayo ambayo yanaacha pengo kubwa kumhusu huyo anayeabudiwa.Mkuu maswali kama hayo ukijiuliza na tuseme kwa akili ndogo tu ya ufahamu kama binaadam anaetumia akili yake vizuri,dini kama dini haina majibu yanayo ridhisha sema tutaenda kwenye majengo kwa kusema tunaenda kuabudu lkn hasa tunaenda kuchangamana na jamii tu na yanayoletwa nayo kama kufiwa,kuzikwa,ndoa na mambo kama hayo
Kwa ufupi ni suala la kujumuika kijamii tu huko misikitini na kanisani zaidi kuliko hata kumjua huyo Mungu na hatima yetu tukifa