Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Nje ya wafia Dini kuna Binadamu hapa ,tuheshimiane na tuheshimu Utu wetu na Watu wengine Mkuu.
Mi nadhani haujaijua biblia vizuri, shetani aliasi baada ya mwanadamu kuumbwa sio kabla.Habari ya jumapili.
Dini inasema shetani aliasi huko juu mbunguni mahala palipotukuka na palipoinuka juu anapoishi mungu. Baada ya shetani kuasi mungu akamtimua na kumshusha huku Duniani.
Dini inasema baadae mungu akamuumba mwanadamu na kumuweka Duniani, maana yake mwanadamu alipowekwa duniani tayari shetani alikua duniani muda mrefu tu anakula zake maisha.
Hadithi ya shetani kuasi iko one sided, yaani inaelezwa kutoka upande wa mungu, hakuna aliewahi kusikia upande wa shetani(tayari binadam wanamshutumu shetani kwa habari ya kuambiwa, one sided story, hivyo shetani anahukumiwa kua ni mbaya bila kusikilizwa).
Dini haisemi kwa nini shetani aliasi na ilikuaje akaasi. Dini inasema mungu anajua kila kitu, all knowing lakini haisemi mungu alishindwaje kujua kua shetani atakuja kuasi ili asimuumbe. Na kama alijua shetani atakuja kuasi kwa nini alimuacha aasi. Mbaya zaidi huo mgogoro wao umetuingiza na sisi binadam ambao hatujui chanzo cha mgogoro. Yaani mungu anarecruit binadam washirikiane nae mwenye mgogoro wake na shetani huku binadam hawajui chanzo cha mgogoro wao. Na mungu anatishia kua yoyote ambae hatashirikiana nae kwenye mgogoro huo atampanish vikali. Unajiuliza hakuaje involved kwenye mgogoro nisioujua chanzo chake na natishiwa adhabu kali kama sitashiriki huo mgogoro ambao in fact haupo kwa sababu mungu hajaonyesha kuwepo, hivyo watu waoga na wajinga wanalazimika kushiriki mgogoro blindly ili kuogopa adhabu.
Kama mungu anawapenda wanadamu kama dini inavyosema alipaswa kurekebisha kasoro zilizojitokeza kabla ya kumuumba mwanadam, lakini pia alipaswa kujua in the first hand kua shetani atakuja kuasi kabla hajamuumba, vinginevyo hajui kila kitu kinyume na inavyosemekana kua anajua kila kitu.
Tukubali tukatae, maovu yote duniani kama mauaji, wivu, kifo, husda, wizi, matetemeko ya ardhi, tsunami, vimbunga, ukame, magonjwa yote chanzo chake ni mungu. Mungu ameshindwa kabisa kutuonyesha kua kweli anatupenda kama anavyosemwa, ameshindwa kuonyesha kweli kua anajali Mbaya zaidi ameyatengeneza alafu ameshindwa kuyaondoa.
Hii mada inaendelea.
Ntongeza ya mjumbe.
Hayo ya shetani kuasi baada ya binadam kuumbwa umeyatoa wapi?Mi nadhani haujaijua biblia vizuri, shetani aliasi baada ya mwanadamu kuumbwa sio kabla.
Kabla alikuwa malaika mzuri tu.
Ni kweli Mungu anajua kila kitu ila yeye hatuendeshi kama marobot, tuna haki ya kuchagua.
Naye anataka tumtumikie kwa free will na sio kwa lazima.
Naomba usome tena nilichoandika. Make sure unakidigest kabla ya kureplyHayo ya shetani kuasi baada ya binadam kuumbwa umeyatoa wapi?
Kwa hyo Adam alipokua anafundishwa mema na mabaya ilikua kabla shetani hajaasi, hvyo unasema mabaya yalikuwepo tu toka enzi na enzi na wala hayakuletwa na shetani?
Kama ndio hivyo basi shetani hana kosa.
Rudia kusoma mwenyewe hovyo hovyo zako ulizoziandika mwenyewe. Sina muda wa kudigest utumbo.Naomba usome tena nilichoandika. Make sure unakidigest kabla ya kureply
SawaRudia kusoma mwenyewe hovyo hovyo zako ulizoziandika mwenyewe. Sina muda wa kudigest utumbo.
Upo sahihi kabisa lakini pia na habari za kutokuwepo tumezaliwa na kuzikuta yani tumekuta watu wakidai hakuna Mungu na wenye kudai yupo. Hivyo pia kuzaliwa na kukuta habari za kuwa hakuna Mungu,haifanyi kuwa hakuna Mungu.
Serikali ya mbinguni ni ya Mungu Baba yetu, anatawala kule,Habari ya jumapili.
Dini inasema shetani aliasi huko juu mbunguni mahala palipotukuka na palipoinuka juu anapoishi mungu. Baada ya shetani kuasi mungu akamtimua na kumshusha huku Duniani.
Dini inasema baadae mungu akamuumba mwanadamu na kumuweka Duniani, maana yake mwanadamu alipowekwa duniani tayari shetani alikua duniani muda mrefu tu anakula zake maisha.
Hadithi ya shetani kuasi iko one sided, yaani inaelezwa kutoka upande wa mungu, hakuna aliewahi kusikia upande wa shetani(tayari binadam wanamshutumu shetani kwa habari ya kuambiwa, one sided story, hivyo shetani anahukumiwa kua ni mbaya bila kusikilizwa).
Dini haisemi kwa nini shetani aliasi na ilikuaje akaasi. Dini inasema mungu anajua kila kitu, all knowing lakini haisemi mungu alishindwaje kujua kua shetani atakuja kuasi ili asimuumbe. Na kama alijua shetani atakuja kuasi kwa nini alimuacha aasi. Mbaya zaidi huo mgogoro wao umetuingiza na sisi binadam ambao hatujui chanzo cha mgogoro. Yaani mungu anarecruit binadam washirikiane nae mwenye mgogoro wake na shetani huku binadam hawajui chanzo cha mgogoro wao. Na mungu anatishia kua yoyote ambae hatashirikiana nae kwenye mgogoro huo atampanish vikali. Unajiuliza hakuaje involved kwenye mgogoro nisioujua chanzo chake na natishiwa adhabu kali kama sitashiriki huo mgogoro ambao in fact haupo kwa sababu mungu hajaonyesha kuwepo, hivyo watu waoga na wajinga wanalazimika kushiriki mgogoro blindly ili kuogopa adhabu.
Kama mungu anawapenda wanadamu kama dini inavyosema alipaswa kurekebisha kasoro zilizojitokeza kabla ya kumuumba mwanadam, lakini pia alipaswa kujua in the first hand kua shetani atakuja kuasi kabla hajamuumba, vinginevyo hajui kila kitu kinyume na inavyosemekana kua anajua kila kitu.
Tukubali tukatae, maovu yote duniani kama mauaji, wivu, kifo, husda, wizi, matetemeko ya ardhi, tsunami, vimbunga, ukame, magonjwa yote chanzo chake ni mungu. Mungu ameshindwa kabisa kutuonyesha kua kweli anatupenda kama anavyosemwa, ameshindwa kuonyesha kweli kua anajali Mbaya zaidi ameyatengeneza alafu ameshindwa kuyaondoa.
Hii mada inaendelea.
Ntongeza ya mjumbe.
Mi nadhani haujaijua biblia vizuri, shetani aliasi baada ya mwanadamu kuumbwa sio kabla.
Kabla alikuwa malaika mzuri tu.
Ni kweli Mungu anajua kila kitu ila yeye hatuendeshi kama marobot, tuna haki ya kuchagua.
Naye anataka tumtumikie kwa free will na sio kwa lazima.
umekosea hizo sehemu zenye RedSerikali ya mbinguni ni ya Mungu Baba yetu, anatawala kule,
Aliumba changamoto maksudi, (yaani challenges ni among creature) kwa viumbe wake wote anaowajua yeye, ili wawe up to date, na hao viumbe wake wana uungu ndani yao kama mimi, kwa sababu nimeumbwa kwa mfano wake, yaani huyo shetani hanisumbui namkemea km mtoto mdogo naye atii ajua hivyo.
Kuna baadhi ya binadamu wa leo ni kizazi cha nyoka (serpent offsprings) ambao either hawajui au wanajua nusunusu kuhusu neno. palipo na mkono wa Mungu na shetani ana plan ''B'' yake hapo. eg (Mungu aliumba Adam na Hawa. shetani kachomeka Cain, kiujanja sana kizazi hicho kipo mpaka leo kinamsaidia baba yao. yaani the devil)
Dhahiri tukirejea ktk suala la kumuona Mungu, wewe bana km siyo mwanae sahau, hujui taratibu za kumwona. Watawala wa Rumi, hawakumjua Yesu wakafanya wanavyojua lakn walijuta sana mpaka leo, mfano rahisi kwako, jiwe watanzania tunamwona sababu ni Rais wetu. Australians hawamjui, wanini kwao! kadhalika familia yako, haiwezi nijua mie ''smaki''. Biblia takatifu inasema Imani si mali ya kila mtu. na haiji kwa hekima za kibinadamu.
Imeandikwa Pasipo Mungu kufungua Akili hapana binadamu kujua mambo yake,utasema unavojua but neno litasimama, kumbuka kwamba Mungu hakufunua hekima yake kwa wajanja wenye maarifa na wafalme, badala yake akawapa watoto wadogo km kina Daniel, Michael, Anania, Azalia nk,kifupi mashujaa wa Imani walikuwa vijana.
Serikali za Duniani ni za wanadamu wanatawala, kwa mfano uleule wa Mungu mbinguni;
na sisi baadhi yetu ni roho, yaani ni miungu kwa mujibu wa Biblia, rejea (John 10;34. linadhihirisha) na mengine mengi, kifungu km nimeumbwa kwa mfano wake kitabu cha mwanzo tu hapo, kina maana kubwa sana. But siyo wote mlioumbwa kwa mfano wake.
Kwa mantiki hii ni sawa na Serikali za ki-Dunia, kwa mfano ya CCM iliwaandaa vijana wake wengi km kina Lisu na wenzake tena wengi kwa gharama kubwa sana, kama machipukizi wa chama ili waweze kushika hatamu na kuwa wanachama watiifu wa ccm, leo hii na sasa ni mwiba na wapinzani wakubwa wa baba lao ccm ileile ilowasomesha, kuwalinda, na kuwatetea kwa hali zote, na wengine walikuwa wanachama kindakindaki, lkn leo wanaomba usiku na mchana ccm iondoke madarakani. ni kawaida wameiga kiroho kulekule mbinguni. ni mambo hujitokeza yakawa ivo yaani ni maumbile yaliyowekwa na Mungu.ndivyo alivyotaka yeye.km yeye, mfano mie siwezi kukuchagulia nguo ya kuvaa leo hata siiijui.
Hata makoloni ya mwingereza ameandaa wengi tu, Km kina Julius(JK), Nkrumah, Mandela,nk, hakuwaua japo aliweza fanya hivyo. Kambarage alimuelimisha father Thom, alipomkamata rais JK angemuua kirahisi tu, au amfunge maisha. lkn kamtoroshea London, JK alijua kambona anatoroka but alimpotezea tu aende zake. ujue hiyo ni ileile roho ya Mungu ya ku accept challenges ilitenda kazi ndani ya JK,
ka ileee ya kumuachia sheitwani aende zake, tena hili jamaa ni kazi ya mikono yake;
krb ujiunge na masomo ya Biblia hapa Sydney.
Maswali na hoja za mleta mada ni nzuri sana na kwa kweli ni za msingi sana na nadhani yapo akilini mwa baadhi ya watu,japo kimya kimya.Japo majibu kwa yote si rahisi sana,labda nigusie maoni yangu tu kujibu baadhi (kama yatakidhi hoja).Habari ya jumapili.
Dini inasema shetani aliasi huko juu mbunguni mahala palipotukuka na palipoinuka juu anapoishi mungu. Baada ya shetani kuasi mungu akamtimua na kumshusha huku Duniani.
Dini inasema baadae mungu akamuumba mwanadamu na kumuweka Duniani, maana yake mwanadamu alipowekwa duniani tayari shetani alikua duniani muda mrefu tu anakula zake maisha.
Hadithi ya shetani kuasi iko one sided, yaani inaelezwa kutoka upande wa mungu, hakuna aliewahi kusikia upande wa shetani(tayari binadam wanamshutumu shetani kwa habari ya kuambiwa, one sided story, hivyo shetani anahukumiwa kua ni mbaya bila kusikilizwa).
Dini haisemi kwa nini shetani aliasi na ilikuaje akaasi. Dini inasema mungu anajua kila kitu, all knowing lakini haisemi mungu alishindwaje kujua kua shetani atakuja kuasi ili asimuumbe. Na kama alijua shetani atakuja kuasi kwa nini alimuacha aasi. Mbaya zaidi huo mgogoro wao umetuingiza na sisi binadam ambao hatujui chanzo cha mgogoro. Yaani mungu anarecruit binadam washirikiane nae mwenye mgogoro wake na shetani huku binadam hawajui chanzo cha mgogoro wao. Na mungu anatishia kua yoyote ambae hatashirikiana nae kwenye mgogoro huo atampanish vikali. Unajiuliza hakuaje involved kwenye mgogoro nisioujua chanzo chake na natishiwa adhabu kali kama sitashiriki huo mgogoro ambao in fact haupo kwa sababu mungu hajaonyesha kuwepo, hivyo watu waoga na wajinga wanalazimika kushiriki mgogoro blindly ili kuogopa adhabu.
Kama mungu anawapenda wanadamu kama dini inavyosema alipaswa kurekebisha kasoro zilizojitokeza kabla ya kumuumba mwanadam, lakini pia alipaswa kujua in the first hand kua shetani atakuja kuasi kabla hajamuumba, vinginevyo hajui kila kitu kinyume na inavyosemekana kua anajua kila kitu.
Tukubali tukatae, maovu yote duniani kama mauaji, wivu, kifo, husda, wizi, matetemeko ya ardhi, tsunami, vimbunga, ukame, magonjwa yote chanzo chake ni mungu. Mungu ameshindwa kabisa kutuonyesha kua kweli anatupenda kama anavyosemwa, ameshindwa kuonyesha kweli kua anajali Mbaya zaidi ameyatengeneza alafu ameshindwa kuyaondoa.
Hii mada inaendelea.
Ntongeza ya mjumbe.
Je, Mungu hakujua kama mtoa mada atatoa mada ya kuonyesha Mungu alikosea mahali.?
La! Hapa hata wafia dini Tunagonga mwamba ila tutajitahidisafi mkuu,ngoja nisubiri majibu kutoka kwa wafia dini!!
Je, Mungu hakujua kama mtoa mada atatoa mada ya kuonyesha Mungu alikosea mahali.?
La! Hapa hata wafia dini Tunagonga mwamba ila tutajitahidi
Maswali hayo!! Nisaidie mwamini mwenzangu,ila kunareply nimeandika(kumb29;29) umeiona? Je, inatosheleza?Wapi hapo umegonga mwamba kaka ?