Nyaka-One
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 4,318
- 5,988
Labda yeye atakuwa anatupa lawama zake kwa mwenyezi Mungu aliyemuumba na kumwekea "uwezo wa kuasi" ndani ya roho au akili zake. Sasa hapo tusemeje wajameni?Ikiwa kila matatizo yanayotukumba sisi binadamu chanzo chake ni shetani
Sasa je shetani akiwa nae anapata matatizo je yatakua yanasababishwa na nini au kuna shetani mwingine?
Sent using unknown device